Isaya 47:6 - Swahili Revised Union Version6 Nilikuwa nimekasirika na watu wangu, niliutia unajisi urithi wangu, nikawatia mkononi mwako; wewe hukuwatendea rehema; kwa wazee uliifanya nira yako kuwa nzito sana. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Niliwakasirikia watu wangu Israeli, nikawafanya watu wangu kuwa haramu. Niliwatia mikononi mwako, nawe hukuwaonea huruma; na wazee uliwatwisha nira nzito mno. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Niliwakasirikia watu wangu Israeli, nikawafanya watu wangu kuwa haramu. Niliwatia mikononi mwako, nawe hukuwaonea huruma; na wazee uliwatwisha nira nzito mno. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Niliwakasirikia watu wangu Israeli, nikawafanya watu wangu kuwa haramu. Niliwatia mikononi mwako, nawe hukuwaonea huruma; na wazee uliwatwisha nira nzito mno. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Niliwakasirikia watu wangu na kuaibisha urithi wangu; niliwatia mikononi mwako, nawe hukuwaonea huruma. Hata juu ya wazee uliweka nira nzito sana. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Niliwakasirikia watu wangu na kuaibisha urithi wangu; niliwatia mikononi mwako, nawe hukuwaonea huruma. Hata juu ya wazee uliweka nira nzito sana. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI6 Nilikuwa nimekasirika na watu wangu, niliutia unajisi urithi wangu, nikawatia mkononi mwako; wewe hukuwatendea rehema; kwa wazee uliifanya nira yako kuwa nzito sana. Tazama sura |