Isaya 47:7 - Swahili Revised Union Version7 Ukasema, Mimi nitakuwa malkia milele; hata hukuyatia hayo moyoni mwako, wala hukukumbuka mwisho wa mambo hayo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 Ulijisemea moyoni: ‘Nitakuwa malkia milele’, nawe hukuyatafakari mambo yanayotokea, wala kufikiri mwisho wake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 Ulijisemea moyoni: ‘Nitakuwa malkia milele’, nawe hukuyatafakari mambo yanayotokea, wala kufikiri mwisho wake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 Ulijisemea moyoni: ‘Nitakuwa malkia milele’, nawe hukuyatafakari mambo yanayotokea, wala kufikiri mwisho wake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Ukasema, ‘Nitaendelea kuwa malkia milele!’ Lakini hukutafakari mambo haya wala hukuwaza juu ya kile kingeweza kutokea. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 Ukasema, ‘Nitaendelea kuwa malkia milele!’ Lakini hukutafakari mambo haya wala hukuwaza juu ya kile kingeweza kutokea. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI7 Ukasema, Mimi nitakuwa malkia milele; hata hukuyatia hayo moyoni mwako, wala hukukumbuka mwisho wa mambo hayo. Tazama sura |