Isaya 47:8 - Swahili Revised Union Version8 Sasa, basi, sikia haya, wewe upendaye anasa, ukaaye na kujiona salama, wewe usemaye moyoni mwako, Mimi ndiye, wala hapana mwingine zaidi yangu mimi; sitaketi kama mjane, wala sitajua kufiwa na watoto; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 “Sasa, basi, sikiliza ewe mpenda anasa, wewe unayedhani kuwa u salama, na kujisemea: ‘Ni mimi tu, na hakuna mwingine isipokuwa mimi. Kamwe sitakuwa mjane, wala sitafiwa na wanangu.’ Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 “Sasa, basi, sikiliza ewe mpenda anasa, wewe unayedhani kuwa u salama, na kujisemea: ‘Ni mimi tu, na hakuna mwingine isipokuwa mimi. Kamwe sitakuwa mjane, wala sitafiwa na wanangu.’ Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 “Sasa, basi, sikiliza ewe mpenda anasa, wewe unayedhani kuwa u salama, na kujisemea: ‘Ni mimi tu, na hakuna mwingine isipokuwa mimi. Kamwe sitakuwa mjane, wala sitafiwa na wanangu.’ Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 “Sasa basi, sikiliza, ewe kiumbe mpenda anasa, ukaaye mahali pako pa salama, na kujiambia mwenyewe, ‘Mimi ndiye, wala hakuna mwingine zaidi yangu. Kamwe sitakuwa mjane, wala sitafiwa na watoto.’ Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 “Sasa basi, sikiliza, ewe kiumbe mpenda anasa, ukaaye mahali pako pa salama, na kujiambia mwenyewe, ‘Mimi ndiye, wala hakuna mwingine zaidi yangu. Kamwe sitakuwa mjane, wala sitafiwa na watoto.’ Tazama suraBIBLIA KISWAHILI8 Sasa, basi, sikia haya, wewe upendaye anasa, ukaaye na kujiona salama, wewe usemaye moyoni mwako, Mimi ndiye, wala hapana mwingine zaidi yangu mimi; sitaketi kama mjane, wala sitajua kufiwa na watoto; Tazama sura |
Bali umejiinua juu ya Bwana wa mbingu; nao wamevileta vyombo vya nyumba yake mbele yako; na wewe, na wakuu wako, na wake zako, na masuria wako, mmevinywea; nawe umeisifu miungu ya fedha na ya dhahabu na ya shaba, na ya chuma, na ya mti, na ya mawe; wasioona, wala kusikia, wala kujua neno lolote; na Mungu yule, ambaye pumzi yako i mkononi mwake, na njia zako zote ni zake, hukumtukuza.
Ndipo hao watu watano wakaenda zao, wakafika Laisha, wakawaona wale watu waliokuwamo ndani yake, jinsi walivyokaa kwa amani, kama ilivyokuwa desturi ya Wasidoni, watu watulivu na wasioshuku, wasiopungukiwa na chochote duniani, na waliokuwa na miliki; Nao walikuwa mbali na hao Wasidoni, wala hawakutangamana na watu wengine.