Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Maombolezo 3:11 - Swahili Revised Union Version

Amezigeuza njia zangu, na kuniraruararua; Amenifanya ukiwa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Alinifukuza njiani mwangu, akanilemaza na kuniacha mkiwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Alinifukuza njiani mwangu, akanilemaza na kuniacha mkiwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Alinifukuza njiani mwangu, akanilemaza na kuniacha mkiwa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

ameniburuta kutoka njiani, akanirarua na kuniacha bila msaada.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

ameniburuta kutoka njia, akanirarua na kuniacha bila msaada.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Amezigeuza njia zangu, na kuniraruararua; Amenifanya ukiwa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Maombolezo 3:11
20 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini sasa amenichokesha; Jamii yangu yote umeifanya ukiwa.


Na roho yangu imezimia ndani yangu, Moyo wangu ndani yangu umeshtuka.


Yafahamuni hayo, Ninyi mnaomsahau Mungu, Nisije nikawararueni, Asipatikane wa kuwaokoa.


Na malango yake yatalia na kuomboleza, naye atakuwa ukiwa, atakaa chini.


Nami nitaamrisha juu yao namna nne, asema BWANA; upanga uue, na mbwa wararue, na ndege wa angani, na wanyama wakali wa nchi, wale na kuangamiza.


Nami nitaufanya mji huu kuwa kitu cha kushangaza watu, na kuzomewa; kila mtu apitaye karibu nao atashangaa, na kuzomea kwa sababu ya mapigo yake.


Na mashamba yatanunuliwa katika nchi hii, mnayoitaja, mkisema, Ni ukiwa, haina mwanadamu wala mnyama; imetiwa katika mikono ya Wakaldayo.


Basi, kwa hiyo, simba atokaye mwituni atawaua, mbwamwitu wa jioni atawateka, chui ataivizia miji yao, kila mtu atokaye humo atararuliwa vipande vipande; kwa sababu makosa yao ni mengi, na kurudi nyuma kwao kumezidi.


Uonyeke, Ee Yerusalemu, nafsi yangu, isije ikafarakana nawe; nisije nikakufanya ukiwa, nchi isiyokaliwa na watu.


Toka juu amepeleka moto mifupani mwangu, Nao umeishinda; Ametandika wavu aninase miguu, Amenirudisha nyuma; Amenifanya kuwa mtu wa pekee, Na mgonjwa mchana kutwa.


Alivyo kwangu ni kama dubu aoteaye, Kama simba aliye mafichoni.


Akanena hivi, Huyo mnyama wa nne atakuwa ni ufalme wa nne juu ya dunia, utakaokuwa mbali na falme zile zote, nao utaangamiza dunia yote, na kuikanyaga, na kuivunja vipande vipande.


Njooni, tumrudie BWANA; maana yeye amerarua, na yeye atatuponya; yeye amepiga, na yeye atatufunga majeraha yetu.


Na hayo mabaki ya Yakobo yatakuwa kati ya mataifa, kati ya kabila nyingi, mfano wa simba kati ya wanyama wa msituni, kama mwanasimba kati ya makundi ya kondoo, ambaye, akiwa anapita katikati, hukanyagakanyaga na kuraruararua, wala hakuna wa kuokoa.


Angalieni, nyumba yenu mmeachiwa hali ya ukiwa.


Wakatupa mavumbi juu ya vichwa vyao, wakalia, wakitokwa na machozi na kuomboleza, wakisema, Ole, ole, mji ule ulio mkuu! Ambao ndani yake wote wenye merikebu baharini walipata mali kwa utajiri wake; kwa kuwa katika saa moja umekuwa ukiwa.