Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 23:38 - Swahili Revised Union Version

38 Angalieni, nyumba yenu mmeachiwa hali ya ukiwa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

38 Haya basi, nyumba yako itaachwa mahame.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

38 Haya basi, nyumba yako itaachwa mahame.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

38 Haya basi, nyumba yako itaachwa mahame.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

38 Tazama nyumba yenu imeachwa ukiwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

38 Tazama nyumba yenu imeachwa ukiwa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

38 Angalieni, nyumba yenu mmeachiwa hali ya ukiwa.

Tazama sura Nakili




Mathayo 23:38
21 Marejeleo ya Msalaba  

basi nitawakatilia Israeli mbali na nchi hii niliyowapa; na nyumba hii niliyoitakasa kwa jina langu, nitaitupilia mbali na macho yangu, na Israeli watakuwa mithali na neno la tusi katika mataifa yote.


Uimwage ghadhabu yako juu yao, Na ukali wa hasira yako uwapate.


Makambi yao na yawe ukiwa, Pasiwe na mtu wa kukaa hemani mwao.


BWANA wa majeshi asema katika masikio yangu, Hakika majumba mengi yatakuwa ukiwa, naam, majumba makubwa, mazuri, yatakuwa hayana watu.


Lakini kama hamtaki kusikia maneno haya, mimi naapa kwa nafsi yangu, asema BWANA, ya kuwa nyumba hii itakuwa ukiwa.


Na baada ya yale majuma sitini na mawili, masihi atakatiliwa mbali, naye atakuwa hana kitu; na watu wa mkuu atakayekuja watauangamiza mji, na patakatifu; na mwisho wake utakuwa pamoja na gharika, na hata mwisho ule vita vitakuwapo; ukiwa umekwisha kukusudiwa.


Nimekatilia mbali mataifa, minara yao ina ukiwa; nimeziharibu njia kuu zao, hata hapana mmoja apitaye; miji yao imeangamizwa; hamna mtu hata mmoja, wala hapana akaaye huko.


Maana mimi sitawahurumia tena wenyeji wa nchi hii, asema BWANA; bali, tazama, nitawatia, kila mmoja wao, mikononi mwa mwenzake, na mikononi mwa mfalme; nao wataipiga hiyo nchi, wala mimi sitamwokoa yeyote kutoka kwa mkono wao.


Naye akajibu akawaambia, Hamyaoni haya yote? Amin, nawaambieni, Halitasalia hapa jiwe juu ya jiwe ambalo halitabomolewa.


Lakini mlionapo chukizo la uharibifu likisimama pasipolipasa, (asomaye na afahamu), ndipo walio katika Yudea na wakimbilie milimani;


Angalieni, mmeachiwa nyumba yenu! Nami nawaambia, Hamtaniona tena kamwe, hadi mtakaposema, Amebarikiwa ajaye kwa jina la Bwana.


Lakini, hapo mtakapoona mji wa Yerusalemu umezungukwa na majeshi, basi jueni ya kwamba uharibifu wake umekaribia.


Wataanguka kwa ukali wa upanga, nao watatekwa nyara na kuchukuliwa katika mataifa yote; na Yerusalemu utakanyagwa na Mataifa, hadi majira ya Mataifa yatakapotimia.


Haya mnayoyatazama, siku zitakuja ambapo halitasalia jiwe juu ya jiwe ambalo halitabomolewa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo