Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Maombolezo 3:10 - Swahili Revised Union Version

10 Alivyo kwangu ni kama dubu aoteaye, Kama simba aliye mafichoni.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Yeye ni kama dubu anayenivizia; ni kama simba aliyejificha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Yeye ni kama dubu anayenivizia; ni kama simba aliyejificha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Yeye ni kama dubu anayenivizia; ni kama simba aliyejificha.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Kama dubu aviziaye, kama simba mafichoni,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Kama dubu aviziaye, kama simba mafichoni,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

10 Alivyo kwangu ni kama dubu aoteaye, Kama simba aliye mafichoni.

Tazama sura Nakili




Maombolezo 3:10
10 Marejeleo ya Msalaba  

Kichwa changu kikijiinua, waniwinda kama simba; Tena wajionesha kwangu kuwa wa ajabu.


Huotea faraghani kama simba pangoni, Huotea amkamate mtu mnyonge. Naam, humkamata mtu mnyonge, Na kumkokota akiwa wavuni mwake.


Kama mfano wa simba atakaye kurarua, Kama mwanasimba aoteaye katika maotea yake.


Nilijituliza hata asubuhi; kama simba, anaivunja mifupa yangu yote; Tangu mchana hata usiku wanimaliza.


Amezigeuza njia zangu, na kuniraruararua; Amenifanya ukiwa.


Ameziziba njia zangu kwa mawe yaliyochongwa; Ameyapotosha mapito yangu.


Maana mimi nitakuwa kama simba kwa Efraimu, na kama mwanasimba kwa nyumba ya Yuda; mimi, naam, mimi nitararua, kisha nitakwenda zangu; nitachukua mbali, wala hapatakuwa na mtu wa kuokoa.


Njooni, tumrudie BWANA; maana yeye amerarua, na yeye atatuponya; yeye amepiga, na yeye atatufunga majeraha yetu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo