Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 8:7 - Swahili Revised Union Version

Nyingine zikaanguka kati ya miiba, na miiba ikamea pamoja nazo ikazisonga.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nyingine zilianguka kati ya miti ya miiba. Ile miti ya miiba ilipoota ikazisonga.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nyingine zilianguka kati ya miti ya miiba. Ile miti ya miiba ilipoota ikazisonga.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nyingine zilianguka kati ya miti ya miiba. Ile miti ya miiba ilipoota ikazisonga.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nazo mbegu nyingine zilianguka kwenye miiba, nayo ile miiba ikakua pamoja nazo, na kuisonga hiyo mimea.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nazo mbegu nyingine zilianguka kwenye miiba, nayo ile miiba ikakua pamoja nazo, na kuisonga hiyo mimea.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nyingine zikaanguka kati ya miiba, na miiba ikamea pamoja nazo ikazisonga.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 8:7
11 Marejeleo ya Msalaba  

michongoma na miiba itakuzalia, nawe utakula mboga za kondeni;


Maana BWANA awaambia hivi watu wa Yuda na Yerusalemu Ulimeni udongo katika konde zenu, wala msipande mbegu kati ya miiba.


Naye aliyepandwa penye miiba, huyo ndiye alisikiaye lile neno; na shughuli za dunia, na udanganyifu wa mali hulisonga lile neno; likawa halizai.


Nyingine zikaanguka penye miiba; ile miiba ikamea, ikazisonga;


Nyingine ikaanguka penye miiba; ile miiba ikamea ikaisonga, isizae matunda.


Basi, jihadharini, mioyo yenu isije ikalemewa na ulafi, na ulevi, na masumbufu ya maisha haya; siku ile ikawajia ghafla, kama mtego unasavyo;


Na zilizoanguka penye miiba ni wale waliosikia, na katika kuenenda kwao husongwa na shughuli na mali, na anasa za maisha haya, wasiivishe lolote.


Nyingine zikaanguka penye mwamba; zilipoanza kumea zikakauka kwa kukosa rutuba.


Nyingine zikaanguka penye udongo mzuri; zikamea, zikazaa moja kwa mia. Alipokuwa akinena hayo alipaza sauti akisema, Mwenye masikio ya kusikizia, na asikie.