Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 6:11 - Swahili Revised Union Version

Wakajawa na uchungu, wakashauriana wao kwa wao wamtendeje Yesu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini wao wakakasirika sana, wakajadiliana jinsi ya kumtendea Yesu maovu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini wao wakakasirika sana, wakajadiliana jinsi ya kumtendea Yesu maovu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini wao wakakasirika sana, wakajadiliana jinsi ya kumtendea Yesu maovu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wale wakuu wakakasirika sana, wakashauriana wao kwa wao ni nini watakachomtendea Isa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wale wakuu wakakasirika sana, wakashauriana wao kwa wao ni nini watakachomtendea Isa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wakajawa na uchungu, wakashauriana wao kwa wao wamtendeje Yesu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 6:11
16 Marejeleo ya Msalaba  

Baa hilo ni katika mambo yote yanayofanyika chini ya jua, ya kuwa wote wanalo tukio moja; naam, zaidi ya hayo, mioyo ya wanadamu imejaa maovu, na wazimu umo mioyoni mwao wakati walipo hai, na baadaye huenda kwa wafu.


Wakabishana wao kwa wao, wakisema, Ni kwa sababu hatukuchukua mikate.


Wakuu wa makuhani na Mafarisayo, waliposikia mifano yake, walitambua ya kuwa anawanenea wao.


Wakajaa ghadhabu wote waliokuwa katika sinagogi walipoyasikia hayo.


Akawakazia macho wote pande zote, akamwambia yule mtu, Nyosha mkono wako. Akaunyosha; mkono wake ukawa mzima tena.


Ikawa siku zile aliondoka akaenda mlimani ili kuomba, akakesha usiku kucha akimwomba Mungu.


Basi wakuu wa makuhani na Mafarisayo wakakusanya baraza, wakasema, Tunafanya nini? Maana mtu huyu afanya ishara nyingi.


Na baada ya hayo Yesu alikuwa akitembea katika Galilaya; maana hakutaka kutembea katika Yudea, kwa sababu Wayahudi walikuwa wakitaka kumwua.


Na mara nyingi katika masinagogi yote niliwaadhibu, nikawashurutisha kukufuru; nikawaonea hasira kama mwenye wazimu, nikawaudhi hata katika miji ya ugenini.


Wakawaamuru kutoka katika baraza, wakashauriana wao kwa wao,


Petro na Yohana wakawajibu wakawaambia, Kama ni haki mbele za Mungu kuwasikiliza ninyi kuliko Mungu, hukumuni ninyi wenyewe;


Wao waliposikia wakachomwa mioyo yao; wakapanga kuwaua.


Basi waliposikia maneno haya, wakachomwa mioyo, wakamsagia meno.


Lakini hawataendelea sana; maana upumbavu wao utakuwa dhahiri kwa watu wote, kama vile na upumbavu wa hao wanaume wawili ulivyokuwa dhahiri.