Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Matendo 4:15 - Swahili Revised Union Version

15 Wakawaamuru kutoka katika baraza, wakashauriana wao kwa wao,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Hivyo, waliwaamuru watoke nje ya baraza, nao wakabaki ndani wakizungumza kwa faragha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Hivyo, waliwaamuru watoke nje ya baraza, nao wakabaki ndani wakizungumza kwa faragha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Hivyo, waliwaamuru watoke nje ya baraza, nao wakabaki ndani wakizungumza kwa faragha.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Wakawaamuru watoke nje ya Baraza la Wayahudi, ili wasemezane jambo hilo wao wenyewe.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Wakawaamuru watoke nje ya Baraza la Wayahudi wakati wakisemezana jambo hilo wao kwa wao.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

15 Wakawaamuru kutoka katika baraza, wakashauriana wao kwa wao,

Tazama sura Nakili




Matendo 4:15
4 Marejeleo ya Msalaba  

Bali mimi nawaambieni, Kila amkasirikiaye ndugu yake itampasa hukumu; na mtu akimtusi ndugu yake, anastahili kuhukumiwa na baraza; na mtu akimwambia nduguye, Ewe mpumbavu, anastahili kuingia katika moto wa Jehanamu.


Na wakimwona yule aliyeponywa akisimama pamoja nao hawakuwa na neno la kujibu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo