Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Matendo 4:14 - Swahili Revised Union Version

14 Na wakimwona yule aliyeponywa akisimama pamoja nao hawakuwa na neno la kujibu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Lakini walipomwona yule mtu aliyeponywa amesimama pamoja nao, hawakuweza kusema kitu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Lakini walipomwona yule mtu aliyeponywa amesimama pamoja nao, hawakuweza kusema kitu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Lakini walipomwona yule mtu aliyeponywa amesimama pamoja nao, hawakuweza kusema kitu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Lakini kwa kuwa walikuwa wanamwona yule kiwete aliyeponywa amesimama pale pamoja nao, hawakuweza kusema lolote kuwapinga.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Lakini kwa kuwa walikuwa wanamwona yule kiwete aliyeponywa amesimama pale pamoja nao, hawakuweza kusema lolote kuwapinga.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

14 Na wakimwona yule aliyeponywa akisimama pamoja nao hawakuwa na neno la kujibu.

Tazama sura Nakili




Matendo 4:14
7 Marejeleo ya Msalaba  

Basi kwa kuwa mambo haya hayawezi kukanushwa, imewapasa kutulia; msifanye neno la haraka haraka.


jueni ninyi nyote na watu wote wa Israeli ya kuwa kwa jina la Yesu Kristo wa Nazareti, ambaye ninyi mlimsulubisha, na Mungu akamfufua katika wafu, kwa jina hilo mtu huyu anasimama akiwa mzima mbele yenu.


Basi walipoona ujasiri wa Petro na Yohana, na kuwajua ya kuwa ni watu wasio na elimu, wasio na maarifa, wakastaajabu, wakawatambua ya kwamba walikuwa pamoja na Yesu.


Wakawaamuru kutoka katika baraza, wakashauriana wao kwa wao,


wakisema, Tuwafanyie nini watu hawa? Maana ni dhahiri kwa watu wote wakaao Yerusalemu ya kwamba ishara mashuhuri imefanywa nao, wala hatuwezi kuikana.


Nao walipokwisha kuwatisha tena wakawafungua, wasione njia ya kuwaadhibu, kwa sababu ya watu; kwa kuwa watu wote walikuwa wakimtukuza Mungu kwa hayo yaliyotendeka;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo