Matendo 4:14 - Swahili Revised Union Version14 Na wakimwona yule aliyeponywa akisimama pamoja nao hawakuwa na neno la kujibu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 Lakini walipomwona yule mtu aliyeponywa amesimama pamoja nao, hawakuweza kusema kitu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 Lakini walipomwona yule mtu aliyeponywa amesimama pamoja nao, hawakuweza kusema kitu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 Lakini walipomwona yule mtu aliyeponywa amesimama pamoja nao, hawakuweza kusema kitu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 Lakini kwa kuwa walikuwa wanamwona yule kiwete aliyeponywa amesimama pale pamoja nao, hawakuweza kusema lolote kuwapinga. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 Lakini kwa kuwa walikuwa wanamwona yule kiwete aliyeponywa amesimama pale pamoja nao, hawakuweza kusema lolote kuwapinga. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI14 Na wakimwona yule aliyeponywa akisimama pamoja nao hawakuwa na neno la kujibu. Tazama sura |