Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 21:45 - Swahili Revised Union Version

45 Wakuu wa makuhani na Mafarisayo, waliposikia mifano yake, walitambua ya kuwa anawanenea wao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

45 Makuhani wakuu na Mafarisayo waliposikia hiyo mifano yake walitambua kwamba alikuwa anawasema wao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

45 Makuhani wakuu na Mafarisayo waliposikia hiyo mifano yake walitambua kwamba alikuwa anawasema wao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

45 Makuhani wakuu na Mafarisayo waliposikia hiyo mifano yake walitambua kwamba alikuwa anawasema wao.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

45 Viongozi wa makuhani na Mafarisayo waliposikia mifano ya Isa, walitambua kuwa alikuwa akiwasema wao.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

45 Viongozi wa Makuhani na Mafarisayo waliposikia mifano ya Isa, walitambua kuwa alikuwa akiwasema wao.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

45 Wakuu wa makuhani na Mafarisayo, waliposikia mifano yake, walitambua ya kuwa anawanenea wao.

Tazama sura Nakili




Mathayo 21:45
6 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Mtu ni bora kuliko kondoo mara ngapi? Basi ni halali kutenda mema siku ya sabato.


Akawaambia mambo mengi kwa mifano, akisema, Tazama, mpanzi alitoka kwenda kupanda.


Naye aangukaye juu ya jiwe hilo atavunjika vipande vipande; naye yeyote ambaye litamwangukia, litamsaga tikitiki.


Nao walipotafuta kumkamata, waliwaogopa makutano, kwa maana wao walimwona kuwa nabii.


Mtu mmoja katika wanasheria akajibu, akamwambia, Mwalimu, kwa kusema hayo umetushutumu sisi nasi.


Nao waandishi na wakuu wa makuhani walitaka kumkamata saa iyo hiyo, wakawaogopa watu, maana walitambua ya kwamba mfano huu amewanenea wao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo