Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 4:28 - Swahili Revised Union Version

28 Wakajaa ghadhabu wote waliokuwa katika sinagogi walipoyasikia hayo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

28 Wote waliokuwa katika lile sunagogi waliposikia hayo walikasirika sana.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

28 Wote waliokuwa katika lile sunagogi waliposikia hayo walikasirika sana.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

28 Wote waliokuwa katika lile sunagogi waliposikia hayo walikasirika sana.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

28 Watu wote katika sinagogi waliposikia maneno haya, wakakasirika sana.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

28 Watu wote katika sinagogi waliposikia maneno haya, wakakasirika sana.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

28 Wakajaa ghadhabu wote waliokuwa katika sinagogi walipoyasikia hayo.

Tazama sura Nakili




Luka 4:28
13 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo Asa akamkasirikia mwonaji, akamtia katika nyumba ya magandalo gerezani, maana amemghadhibikia kwa sababu ya neno hilo. Na wakati uleule Asa akatesa baadhi ya watu.


Basi wakamtwaa Yeremia, wakamtupa katika shimo la Malkiya, mwana wa mfalme, lililo katika ukumbi wa walinzi; wakamshusha kwa kamba. Na mle shimoni hamkuwa na maji, ila matope tu; naye Yeremia akazama katika matope hayo.


Ndipo Herode, alipoona ya kuwa amedhihakiwa na wale majusi, alighadhibika sana, akatuma watu akawaua watoto wote wa kiume waliokuwako huko Bethlehemu na viungani mwake kote, kuanzia wenye miaka miwili na chini yake, kwa muda ule aliouhakikisha kwa wale majusi.


Tena, palikuwa na wenye ukoma wengi katika Israeli zamani za nabii Elisha, wala hapana aliyetakaswa ila Naamani, mtu wa Shamu.


Wakaondoka wakamtoa nje ya mji, wakampeleka mpaka ukingo wa kilima ambacho mji wao umejengwa juu yake, wapate kumtupa chini;


Wakajawa na uchungu, wakashauriana wao kwa wao wamtendeje Yesu.


Wao waliposikia wakachomwa mioyo yao; wakapanga kuwaua.


Basi waliposikia maneno haya, wakachomwa mioyo, wakamsagia meno.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo