Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Matendo 7:54 - Swahili Revised Union Version

54 Basi waliposikia maneno haya, wakachomwa mioyo, wakamsagia meno.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

54 Wale wazee wa Baraza waliposikia hayo, walighadhibika sana, wakamsagia meno kwa hasira.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

54 Wale wazee wa Baraza waliposikia hayo, walighadhibika sana, wakamsagia meno kwa hasira.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

54 Wale wazee wa Baraza waliposikia hayo, walighadhibika sana, wakamsagia meno kwa hasira.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

54 Wazee wa Baraza la Wayahudi waliposikia haya wakaghadhibika, wakamsagia meno.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

54 Waliposikia haya wakaghadhibika, wakamsagia meno.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

54 Basi waliposikia maneno haya, wakachomwa mioyo, wakamsagia meno.

Tazama sura Nakili




Matendo 7:54
13 Marejeleo ya Msalaba  

Amenirarua katika ghadhabu zake, na kunionea; Amesagasaga meno juu yangu; Mtesi wangu hunikazia macho makali.


Asiye haki ataona na kusikitika, Atasaga meno yake na kuondoka, Matumaini ya wasio haki hupotea.


Bila heshima walinidhihaki kupindukia, Wakanisagia meno yao.


Juu yako adui zako wote Wamepanua vinywa vyao; Huzomea, husaga meno yao, Husema, Tumemmeza; Hakika siku hii ndiyo tuliyoitazamia; Tumeipata, tumeiona.


na kuwatupa katika tanuri ya moto, ndiko kutakuwako kilio na kusaga meno.


na kuwatupa katika tanuri ya moto; ndiko kutakuwako kilio na kusaga meno.


Mfalme akawaambia watumishi, Mfungeni mikono na miguu, mchukueni mkamtupe katika giza la nje; ndiko kutakuwako kilio na kusaga meno.


atamkata vipande viwili, na kumwekea fungu lake pamoja na wanafiki; ndiko kutakuwako kilio na kusaga meno.


Na mtumwa yule asiyefaa, mtupeni mbali katika giza la nje; ndiko kutakuwako kilio na kusaga meno.


bali wana wa ufalme watatupwa katika giza la nje, ndiko kutakuwako kilio na kusaga meno.


Ndipo kutakapokuwa na kilio na kusaga meno, mtakapomwona Abrahamu na Isaka na Yakobo na manabii wote katika ufalme wa Mungu, nanyi wenyewe mmetupwa nje.


Wao waliposikia wakachomwa mioyo yao; wakapanga kuwaua.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo