Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Matendo 7:53 - Swahili Revised Union Version

53 ninyi mlioipokea torati kwa agizo la malaika msiishike.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

53 Nyinyi mliipokea ile sheria iliyoletwa kwenu na Malaika, lakini hamkuitii.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

53 Nyinyi mliipokea ile sheria iliyoletwa kwenu na Malaika, lakini hamkuitii.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

53 Nyinyi mliipokea ile sheria iliyoletwa kwenu na Malaika, lakini hamkuitii.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

53 Ninyi ndio mlipokea sheria zilizoletwa kwenu na malaika, lakini hamkuzitii.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

53 Ninyi ndio mlipokea sheria zilizoletwa kwenu na malaika, lakini hamkuzitii.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

53 ninyi mlioipokea torati kwa agizo la malaika msiishike.

Tazama sura Nakili




Matendo 7:53
10 Marejeleo ya Msalaba  

Magari ya Mungu ni elfu ishirini, maelfu kwa maelfu; Bwana yumo kati yao kama katika Sinai, Katika patakatifu.


Je! Musa hakuwapa torati? Wala hakuna mmoja wenu aitendaye torati. Mbona mnatafuta kuniua?


Yeye ndiye aliyekuwa katika kanisa jangwani pamoja na yule malaika aliyesema naye katika mlima wa Sinai, tena pamoja na baba zetu; ndiye aliyepokea maneno ya uzima ili atupe sisi.


Torati ni nini basi? Iliingizwa kwa sababu ya makosa, hadi aje huyo mzao aliyepewa ile ahadi; iliamriwa kwa utumishi wa malaika kwa mkono wa mjumbe.


Kwa maana hata wao wenyewe waliotahiriwa hawaishiki sheria; bali wanataka ninyi mtahiriwe, wapate kuona fahari katika miili yenu.


Akasema, BWANA alitoka Sinai, Akawajia kutoka Seiri; Aliangaza katika kilima cha Parani, Akaja Meribath-kadeshi. Upande wa mkono wake wa kulia Palikuwa na sheria ya motomoto kwao.


Kwa maana, ikiwa lile neno lililonenwa na malaika lilikuwa imara, na kila kosa na uasi ulipata ujira wa haki,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo