Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 5:9 - Swahili Revised Union Version

Maana alishikwa na mshangao, yeye na wote waliokuwa pamoja naye, kwa sababu ya wingi wa samaki waliowapata;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Simoni pamoja na wenzake wote walishangaa kwa kupata samaki wengi vile.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Simoni pamoja na wenzake wote walishangaa kwa kupata samaki wengi vile.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Simoni pamoja na wenzake wote walishangaa kwa kupata samaki wengi vile.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa kuwa yeye na wavuvi wenzake walikuwa wameshangazwa sana na wingi wa samaki waliokuwa wamepata.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa kuwa yeye na wavuvi wenzake walikuwa wameshangazwa sana na wingi wa samaki waliokuwa wamepata.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Maana alishikwa na mshangao, yeye na wote waliokuwa pamoja naye, kwa sababu ya wingi wa samaki waliowapata;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 5:9
8 Marejeleo ya Msalaba  

Umemtawaza juu ya kazi za mikono yako; Umevitia vitu vyote chini ya miguu yake.


Ndege wa angani, na samaki wa baharini; Na kila kipitacho njia za baharini.


Maana, hakujua la kunena, kwa kuwa waliingiwa na hofu nyingi.


Wote waliosikia wakastaajabu kwa hayo waliyoambiwa na wachungaji.


wakashangaa mno kwa mafundisho yake, kwa kuwa neno lake lilikuwa na uwezo.


Mshangao ukawashika wote, wakasemezana wakisema, Ni neno gani hili, maana awaamuru pepo wachafu kwa uwezo na nguvu, nao hutoka.


na kadhalika Yakobo na Yohana, wana wa Zebedayo, waliokuwa washirika wa Simoni. Yesu akamwambia Simoni, Usiogope, tangu sasa utakuwa ukivua watu.


Simoni Petro alipoona hayo, alianguka magotini mbele ya Yesu, akisema, Ondoka kwangu, kwa kuwa mimi ni mtu mwenye dhambi, Bwana.