Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 9:6 - Swahili Revised Union Version

6 Maana, hakujua la kunena, kwa kuwa waliingiwa na hofu nyingi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Yeye na wenzake waliogopa hata hakujua la kusema.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Yeye na wenzake waliogopa hata hakujua la kusema.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Yeye na wenzake waliogopa hata hakujua la kusema.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Petro hakujua aseme nini kwa maana yeye na wenzake walikuwa wameogopa sana.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Petro hakujua aseme nini kwa maana yeye na wenzake walikuwa wameogopa sana.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

6 Maana, hakujua la kunena, kwa kuwa waliingiwa na hofu nyingi.

Tazama sura Nakili




Marko 9:6
6 Marejeleo ya Msalaba  

Petro akajibu, akamwambia Yesu, Rabi, ni vizuri sisi kuwapo hapa; na tufanye vibanda vitatu, kimoja chako wewe, kimoja cha Musa, na kimoja cha Eliya.


Kisha likatokea wingu, likawatia uvuli; sauti ikatoka katika lile wingu, Huyu ni Mwanangu, mpendwa wangu, msikieni yeye.


Ikawa hao walipokuwa wakijitenga naye, Petro alimwambia Yesu, Bwana mkubwa, ni vizuri sisi kuwapo hapa; na tufanye vibanda vitatu; kimoja chako wewe, na kimoja cha Musa, na kimoja cha Eliya; hali hajui asemalo.


Nami nilipomwona, nilianguka miguuni pake kama mtu aliyekufa. Akaweka mkono wake wa kulia juu yangu, akisema, Usiogope, Mimi ni wa kwanza na wa mwisho,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo