Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 5:9 - Swahili Revised Union Version

9 Maana alishikwa na mshangao, yeye na wote waliokuwa pamoja naye, kwa sababu ya wingi wa samaki waliowapata;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Simoni pamoja na wenzake wote walishangaa kwa kupata samaki wengi vile.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Simoni pamoja na wenzake wote walishangaa kwa kupata samaki wengi vile.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Simoni pamoja na wenzake wote walishangaa kwa kupata samaki wengi vile.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Kwa kuwa yeye na wavuvi wenzake walikuwa wameshangazwa sana na wingi wa samaki waliokuwa wamepata.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Kwa kuwa yeye na wavuvi wenzake walikuwa wameshangazwa sana na wingi wa samaki waliokuwa wamepata.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

9 Maana alishikwa na mshangao, yeye na wote waliokuwa pamoja naye, kwa sababu ya wingi wa samaki waliowapata;

Tazama sura Nakili




Luka 5:9
8 Marejeleo ya Msalaba  

Umemtawaza juu ya kazi za mikono yako; Umevitia vitu vyote chini ya miguu yake.


Ndege wa angani, na samaki wa baharini; Na kila kipitacho njia za baharini.


Maana, hakujua la kunena, kwa kuwa waliingiwa na hofu nyingi.


Wote waliosikia wakastaajabu kwa hayo waliyoambiwa na wachungaji.


wakashangaa mno kwa mafundisho yake, kwa kuwa neno lake lilikuwa na uwezo.


Mshangao ukawashika wote, wakasemezana wakisema, Ni neno gani hili, maana awaamuru pepo wachafu kwa uwezo na nguvu, nao hutoka.


na kadhalika Yakobo na Yohana, wana wa Zebedayo, waliokuwa washirika wa Simoni. Yesu akamwambia Simoni, Usiogope, tangu sasa utakuwa ukivua watu.


Simoni Petro alipoona hayo, alianguka magotini mbele ya Yesu, akisema, Ondoka kwangu, kwa kuwa mimi ni mtu mwenye dhambi, Bwana.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo