Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 2:18 - Swahili Revised Union Version

18 Wote waliosikia wakastaajabu kwa hayo waliyoambiwa na wachungaji.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Wote waliosikia hayo walishangaa juu ya habari walizoambiwa na wachungaji.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Wote waliosikia hayo walishangaa juu ya habari walizoambiwa na wachungaji.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Wote waliosikia hayo walishangaa juu ya habari walizoambiwa na wachungaji.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Nao wote waliosikia habari hizi wakastaajabia yale waliyoambiwa na wale wachungaji wa kondoo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Nao wote waliosikia habari hizi wakastaajabia yale waliyoambiwa na wale wachungaji wa kondoo.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

18 Wote waliosikia wakastaajabu kwa hayo waliyoambiwa na wachungaji.

Tazama sura Nakili




Luka 2:18
8 Marejeleo ya Msalaba  

Angalieni, mimi na watoto hawa niliopewa na BWANA tu ishara na ajabu katika Israeli, zitokazo kwa BWANA wa majeshi, yeye akaaye katika mlima Sayuni.


Walipomwona wakatoa habari waliyoambiwa juu ya huyo mtoto.


Lakini Mariamu akayaweka maneno hayo yote, akiyafikiri moyoni mwake.


Na babaye na mamaye walikuwa wakiyastaajabia hayo yaliyonenwa juu yake.


Nao wote waliomsikia walistaajabia fahamu zake na majibu yake.


Mshangao ukawashika wote, wakasemezana wakisema, Ni neno gani hili, maana awaamuru pepo wachafu kwa uwezo na nguvu, nao hutoka.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo