Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 4:32 - Swahili Revised Union Version

32 wakashangaa mno kwa mafundisho yake, kwa kuwa neno lake lilikuwa na uwezo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

32 Wakastaajabia uwezo aliokuwa nao katika kufundisha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

32 Wakastaajabia uwezo aliokuwa nao katika kufundisha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

32 Wakastaajabia uwezo aliokuwa nao katika kufundisha.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

32 Wakashangazwa sana na mafundisho yake, maana maneno yake yalikuwa na mamlaka.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

32 Wakashangazwa sana na mafundisho yake, maana maneno yake yalikuwa na mamlaka.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

32 wakashangaa mno kwa mafundisho yake, kwa kuwa neno lake lilikuwa na uwezo.

Tazama sura Nakili




Luka 4:32
15 Marejeleo ya Msalaba  

Wakashangaa mno kwa mafundisho yake; kwa maana alikuwa akiwafundisha kama mtu mwenye mamlaka, wala si kama waandishi.


Nao wote waliomsikia walistaajabia fahamu zake na majibu yake.


Na ndani ya sinagogi mlikuwa na mtu mwenye roho ya pepo mchafu, akalia kwa sauti kuu,


Mshangao ukawashika wote, wakasemezana wakisema, Ni neno gani hili, maana awaamuru pepo wachafu kwa uwezo na nguvu, nao hutoka.


Roho ndiyo itiayo uzima, mwili haufai kitu; maneno hayo niliyowaambia ni roho, tena ni uzima.


Wale watumishi wakajibu. Hajanena kamwe mtu yeyote kama huyu anavyonena.


lakini tumekataa mambo ya aibu yaliyositirika, wala hatuenendi kwa hila, wala kulichanganya neno la Mungu na uongo; bali kwa kuidhihirisha iliyo kweli twajionesha kuwa na haki, dhamiri za watu zikitushuhudia mbele za Mungu.


ya kwamba Injili yetu haikuwafikia katika maneno tu, bali na katika nguvu, na katika Roho Mtakatifu, na uthibitifu mwingi; kama vile mnavyojua jinsi zilivyokuwa tabia zetu kwenu, kwa ajili yenu.


Nena mambo hayo, onya na kukaripia kwa mamlaka yote; asikudharau mtu awaye yote.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo