Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 4:33 - Swahili Revised Union Version

33 Na ndani ya sinagogi mlikuwa na mtu mwenye roho ya pepo mchafu, akalia kwa sauti kuu,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

33 Na katika lile sunagogi kulikuwa na mtu aliyekuwa amepagawa na pepo mchafu; akapiga ukelele wa kuziba masikio:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

33 Na katika lile sunagogi kulikuwa na mtu aliyekuwa amepagawa na pepo mchafu; akapiga ukelele wa kuziba masikio:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

33 Na katika lile sunagogi kulikuwa na mtu aliyekuwa amepagawa na pepo mchafu; akapiga ukelele wa kuziba masikio:

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

33 Ndani ya sinagogi palikuwa na mtu aliyekuwa amepagawa na pepo mchafu. Naye akapaza sauti kwa nguvu akisema,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

33 Ndani ya sinagogi palikuwa na mtu aliyekuwa amepagawa na pepo mchafu. Naye akapiga kelele kwa nguvu akisema,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

33 Na ndani ya sinagogi mlikuwa na mtu mwenye roho ya pepo mchafu, akalia kwa sauti kuu,

Tazama sura Nakili




Luka 4:33
3 Marejeleo ya Msalaba  

Na mara palikuwapo ndani ya sinagogi lao mtu mwenye pepo mchafu; akapaza sauti,


wakashangaa mno kwa mafundisho yake, kwa kuwa neno lake lilikuwa na uwezo.


akisema, Acha! Tuna nini nawe, Yesu wa Nazareti? Umekuja kutuangamiza? Nakujua u nani, Mtakatifu wa Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo