Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 4:32 - Swahili Revised Union Version

wakashangaa mno kwa mafundisho yake, kwa kuwa neno lake lilikuwa na uwezo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wakastaajabia uwezo aliokuwa nao katika kufundisha.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wakastaajabia uwezo aliokuwa nao katika kufundisha.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wakastaajabia uwezo aliokuwa nao katika kufundisha.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wakashangazwa sana na mafundisho yake, maana maneno yake yalikuwa na mamlaka.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wakashangazwa sana na mafundisho yake, maana maneno yake yalikuwa na mamlaka.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

wakashangaa mno kwa mafundisho yake, kwa kuwa neno lake lilikuwa na uwezo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 4:32
15 Marejeleo ya Msalaba  

Wakashangaa mno kwa mafundisho yake; kwa maana alikuwa akiwafundisha kama mtu mwenye mamlaka, wala si kama waandishi.


Nao wote waliomsikia walistaajabia fahamu zake na majibu yake.


Na ndani ya sinagogi mlikuwa na mtu mwenye roho ya pepo mchafu, akalia kwa sauti kuu,


Mshangao ukawashika wote, wakasemezana wakisema, Ni neno gani hili, maana awaamuru pepo wachafu kwa uwezo na nguvu, nao hutoka.


Roho ndiyo itiayo uzima, mwili haufai kitu; maneno hayo niliyowaambia ni roho, tena ni uzima.


Wale watumishi wakajibu. Hajanena kamwe mtu yeyote kama huyu anavyonena.


lakini tumekataa mambo ya aibu yaliyositirika, wala hatuenendi kwa hila, wala kulichanganya neno la Mungu na uongo; bali kwa kuidhihirisha iliyo kweli twajionesha kuwa na haki, dhamiri za watu zikitushuhudia mbele za Mungu.


ya kwamba Injili yetu haikuwafikia katika maneno tu, bali na katika nguvu, na katika Roho Mtakatifu, na uthibitifu mwingi; kama vile mnavyojua jinsi zilivyokuwa tabia zetu kwenu, kwa ajili yenu.


Nena mambo hayo, onya na kukaripia kwa mamlaka yote; asikudharau mtu awaye yote.