Tito 2:15 - Swahili Revised Union Version15 Nena mambo hayo, onya na kukaripia kwa mamlaka yote; asikudharau mtu awaye yote. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema15 Basi, sema mambo hayo na tumia mamlaka yako yote ukiwahimiza na kuwaonya wasikilizaji wako. Mtu yeyote na asikudharau. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND15 Basi, sema mambo hayo na tumia mamlaka yako yote ukiwahimiza na kuwaonya wasikilizaji wako. Mtu yeyote na asikudharau. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza15 Basi, sema mambo hayo na tumia mamlaka yako yote ukiwahimiza na kuwaonya wasikilizaji wako. Mtu yeyote na asikudharau. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu15 Basi wewe fundisha mambo haya. Himiza na kukaripia kwa mamlaka yote. Usiruhusu mtu yeyote akudharau. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu15 Basi wewe fundisha mambo haya. Onya na kukaripia kwa mamlaka yote. Mtu yeyote asikudharau. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI15 Nena mambo hayo, onya na kukaripia kwa mamlaka yote; asikudharau mtu awaye yote. Tazama sura |