Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 3:10 - Swahili Revised Union Version

Makutano wakamwuliza, Tufanye nini basi?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Umati wa watu ukamwuliza, “Tufanye nini basi?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Umati wa watu ukamwuliza, “Tufanye nini basi?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Umati wa watu ukamwuliza, “Tufanye nini basi?”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Umati ule wa watu wakamuuliza, “Inatupasa tufanyeje basi?”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ule umati wa watu ukamuuliza, “Inatupasa tufanyeje basi?”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Makutano wakamwuliza, Tufanye nini basi?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 3:10
7 Marejeleo ya Msalaba  

Watoza ushuru nao wakaja kubatizwa, wakamwuliza, Mwalimu, tufanye nini sisi?


Askari nao wakamwuliza, wakisema, Sisi nasi tufanye nini? Akawaambia, Msidhulumu mtu, wala msishitaki kwa uongo; tena mtosheke na mishahara yenu.


Basi, toeni matunda yapatanayo na toba; wala msianze kusema mioyoni mwenu, Tunaye baba, ndiye Abrahamu; kwa maana nawaambia ya kwamba katika mawe haya Mungu aweza kumwinulia Abrahamu watoto.


kisha akawaleta nje akasema, Bwana zangu, yanipasa nifanye nini nipate kuokoka?


Walipoyasikia haya wakachomwa mioyo yao, wakamwambia Petro na mitume wengine, Tutendeje, ndugu zetu?


Petro akawaambia, Tubuni mkabatizwe kila mmoja kwa jina lake Yesu Kristo, mpate ondoleo la dhambi zenu, nanyi mtapokea kipawa cha Roho Mtakatifu.


Lakini simama, uingie mjini, nawe utaambiwa yakupasayo kutenda.