Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 3:12 - Swahili Revised Union Version

12 Watoza ushuru nao wakaja kubatizwa, wakamwuliza, Mwalimu, tufanye nini sisi?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Nao watozaushuru wakaja pia ili wabatizwe, wakamwuliza, “Mwalimu, tufanye nini?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Nao watozaushuru wakaja pia ili wabatizwe, wakamwuliza, “Mwalimu, tufanye nini?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Nao watozaushuru wakaja pia ili wabatizwe, wakamwuliza, “Mwalimu, tufanye nini?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Watoza ushuru nao wakaja ili wabatizwe, wakamuuliza, “Mwalimu na sisi inatupasa tufanyeje?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Watoza ushuru nao wakaja ili wabatizwe, wakamuuliza, “Bwana, na sisi inatupasa tufanyeje?”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

12 Watoza ushuru nao wakaja kubatizwa, wakamwuliza, Mwalimu, tufanye nini sisi?

Tazama sura Nakili




Luka 3:12
8 Marejeleo ya Msalaba  

Maana mkiwapenda wanaowapenda ninyi mnapata thawabu gani? Hata watoza ushuru, je! Nao hawafanyi yayo hayo?


Lakini yule mtoza ushuru alisimama mbali, wala hakuthubutu hata kuinua macho yake mbinguni, bali alijipigapiga kifua akisema, Ee Mungu, uniwie radhi mimi mwenye dhambi.


Makutano wakamwuliza, Tufanye nini basi?


Akawaambia, Msitoze kitu zaidi kuliko mlivyoamriwa.


Na watu wote na watoza ushuru waliposikia hayo, waliikiri haki ya Mungu, kwa kuwa wamebatizwa kwa ubatizo wa Yohana.


Walipoyasikia haya wakachomwa mioyo yao, wakamwambia Petro na mitume wengine, Tutendeje, ndugu zetu?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo