Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 3:13 - Swahili Revised Union Version

13 Akawaambia, Msitoze kitu zaidi kuliko mlivyoamriwa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Naye akawaambia, “Msitoze ushuru zaidi ya kima kilichowekwa.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Naye akawaambia, “Msitoze ushuru zaidi ya kima kilichowekwa.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Naye akawaambia, “Msitoze ushuru zaidi ya kima kilichowekwa.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Akawaambia, “Msichukue zaidi ya kiwango mlichopangiwa.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Akawaambia, “Msichukue zaidi ya kiwango mlichopangiwa.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

13 Akawaambia, Msitoze kitu zaidi kuliko mlivyoamriwa.

Tazama sura Nakili




Luka 3:13
15 Marejeleo ya Msalaba  

Nami nilikuwa mkamilifu mbele zake, Nikajilinda na uovu wangu.


Afichaye dhambi zake hatafanikiwa; Bali yeye aziungamaye na kuziacha atapata rehema.


Ee mwanadamu, yeye amekuonesha yaliyo mema; na BWANA anataka nini kwako, ila kutenda haki, na kupenda rehema, na kwenda kwa unyenyekevu na Mungu wako!


Basi yoyote myatakayo mtendewe na watu, nanyi watendeeni vivyo hivyo; maana hiyo ndiyo Torati na Manabii.


Zakayo akasimama, akamwambia Bwana, Tazama, Bwana, nusu ya mali yangu nawapa maskini, na ikiwa nimenyang'anya mtu kitu kwa hila namrudishia mara nne.


Watoza ushuru nao wakaja kubatizwa, wakamwuliza, Mwalimu, tufanye nini sisi?


Askari nao wakamwuliza, wakisema, Sisi nasi tufanye nini? Akawaambia, Msidhulumu mtu, wala msishitaki kwa uongo; tena mtosheke na mishahara yenu.


wala wezi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang'anyi.


Mwizi asiibe tena; bali afadhali afanye juhudi, akifanya kazi iliyo nzuri kwa mikono yake mwenyewe, apate kuwa na kitu cha kumgawia mhitaji.


Basi na sisi pia, kwa kuwa tunazungukwa na wingu kubwa la mashahidi namna hii, na tuweke kando kila mzigo mzito, na dhambi ile ituzingayo kwa upesi; na tupige mbio kwa subira katika yale mashindano yaliyowekwa mbele yetu,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo