Luka 3:14 - Swahili Revised Union Version14 Askari nao wakamwuliza, wakisema, Sisi nasi tufanye nini? Akawaambia, Msidhulumu mtu, wala msishitaki kwa uongo; tena mtosheke na mishahara yenu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 Nao askari wakamwuliza, “Na sisi tufanye nini?” Naye akawajibu, “Msichukue vitu vya mtu yeyote kwa nguvu wala kumshtaki yeyote kwa uongo. Toshekeni na mishahara yenu.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 Nao askari wakamwuliza, “Na sisi tufanye nini?” Naye akawajibu, “Msichukue vitu vya mtu yeyote kwa nguvu wala kumshtaki yeyote kwa uongo. Toshekeni na mishahara yenu.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 Nao askari wakamwuliza, “Na sisi tufanye nini?” Naye akawajibu, “Msichukue vitu vya mtu yeyote kwa nguvu wala kumshtaki yeyote kwa uongo. Toshekeni na mishahara yenu.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 Askari nao wakamuuliza, “Je, nasi inatupasa tufanye nini?” Akawaambia, “Msimdhulumu mtu wala msimshtaki mtu kwa uongo, bali mridhike na mishahara yenu.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 Askari nao wakamuuliza, “Je, nasi inatupasa tufanye nini?” Akawaambia, “Msimdhulumu mtu wala msimshtaki mtu kwa uongo, bali mridhike na mishahara yenu.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI14 Askari nao wakamwuliza, wakisema, Sisi nasi tufanye nini? Akawaambia, Msimdhulumu mtu, wala msishitaki kwa uongo; tena mtosheke na mishahara yenu. Tazama sura |