Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Matendo 16:30 - Swahili Revised Union Version

30 kisha akawaleta nje akasema, Bwana zangu, yanipasa nifanye nini nipate kuokoka?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

30 Halafu aliwaongoza nje, akawauliza, “Waheshimiwa, nifanye nini nipate kuokoka?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

30 Halafu aliwaongoza nje, akawauliza, “Waheshimiwa, nifanye nini nipate kuokoka?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

30 Halafu aliwaongoza nje, akawauliza, “Waheshimiwa, nifanye nini nipate kuokoka?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

30 Kisha akawaleta nje akisema, “Bwana zangu, nifanye nini nipate kuokoka?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

30 Kisha akawaleta nje akisema, “Bwana zangu, nifanye nini nipate kuokoka?”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

30 kisha akawaleta nje akasema, Bwana zangu, yanipasa nifanye nini nipate kuokoka?

Tazama sura Nakili




Matendo 16:30
16 Marejeleo ya Msalaba  

Basi mtu awezaje kuwa na haki mbele ya Mungu? Au awezaje kuwa safi aliyezaliwa na mwanamke?


Nisiyoyaona nifundishe wewe; Kama nimefanya uovu sitafanya tena?


Je! Saumu niliyoichagua, siyo ya namna hii? Kufungua vifungo vya uovu, kuzilegeza kamba za nira, kuwaacha huru walioonewa, na kwamba mvunje kila nira?


Ndipo utaita, na BWANA ataitika; utalia, naye atasema, Mimi hapa. Kama ukiiondoa nira; isiwepo kati yako, wala kunyosha kidole, wala kunena maovu;


Basi zaeni matunda yapasayo toba;


Heri wenye rehema; Maana hao watapata rehema.


Makutano wakamwuliza, Tufanye nini basi?


wakisema, Akina bwana, mbona mnafanya haya? Sisi nasi tu wanadamu hali moja na ninyi; tunawahubiria Habari Njema, ili mgeuke na kuyaacha mambo haya ya ubatili na kumwelekea Mungu aliye hai, aliyeumba mbingu na nchi na bahari na vitu vyote vilivyomo;


Akamfuata Paulo na sisi akipiga kelele, akisema, Watu hawa ni watumishi wa Mungu aliye juu, wenye kuwahubiria njia ya wokovu.


Naye akiisha kupata amri hii akawatupa katika chumba cha ndani, akawafunga miguu kwa mkatale.


Walipoyasikia haya wakachomwa mioyo yao, wakamwambia Petro na mitume wengine, Tutendeje, ndugu zetu?


Nikasema, Nifanye nini, Bwana? Bwana akaniambia, Simama, uingie Dameski, na huko utaambiwa habari za mambo yote yaliyoamriwa uyafanye.


Lakini simama, uingie mjini, nawe utaambiwa yakupasayo kutenda.


Maana hukumu haina huruma kwake yeye asiyeona huruma. Huruma hujitukuza juu ya hukumu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo