Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 3:10 - Swahili Revised Union Version

10 Makutano wakamwuliza, Tufanye nini basi?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Umati wa watu ukamwuliza, “Tufanye nini basi?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Umati wa watu ukamwuliza, “Tufanye nini basi?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Umati wa watu ukamwuliza, “Tufanye nini basi?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Umati ule wa watu wakamuuliza, “Inatupasa tufanyeje basi?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Ule umati wa watu ukamuuliza, “Inatupasa tufanyeje basi?”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

10 Makutano wakamwuliza, Tufanye nini basi?

Tazama sura Nakili




Luka 3:10
7 Marejeleo ya Msalaba  

Watoza ushuru nao wakaja kubatizwa, wakamwuliza, Mwalimu, tufanye nini sisi?


Askari nao wakamwuliza, wakisema, Sisi nasi tufanye nini? Akawaambia, Msidhulumu mtu, wala msishitaki kwa uongo; tena mtosheke na mishahara yenu.


Basi, toeni matunda yapatanayo na toba; wala msianze kusema mioyoni mwenu, Tunaye baba, ndiye Abrahamu; kwa maana nawaambia ya kwamba katika mawe haya Mungu aweza kumwinulia Abrahamu watoto.


kisha akawaleta nje akasema, Bwana zangu, yanipasa nifanye nini nipate kuokoka?


Walipoyasikia haya wakachomwa mioyo yao, wakamwambia Petro na mitume wengine, Tutendeje, ndugu zetu?


Petro akawaambia, Tubuni mkabatizwe kila mmoja kwa jina lake Yesu Kristo, mpate ondoleo la dhambi zenu, nanyi mtapokea kipawa cha Roho Mtakatifu.


Lakini simama, uingie mjini, nawe utaambiwa yakupasayo kutenda.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo