Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 24:50 - Swahili Revised Union Version

Akawaongoza mpaka Bethania, akainua mikono yake akawabariki.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kisha akawaongoza nje ya mji hadi Bethania, akainua mikono yake juu, akawabariki.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kisha akawaongoza nje ya mji hadi Bethania, akainua mikono yake juu, akawabariki.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kisha akawaongoza nje ya mji hadi Bethania, akainua mikono yake juu, akawabariki.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Baada ya kuwaongoza hadi Bethania, akainua mikono yake juu na kuwabariki.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Akiisha kuwaongoza mpaka kwenye viunga vya Bethania, akainua mikono yake juu na kuwabariki.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akawaongoza mpaka Bethania, akainua mikono yake akawabariki.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 24:50
15 Marejeleo ya Msalaba  

ukaniandalie chakula kitamu namna ile niipendayo, ukaniletee, ili nile; na roho yangu ikubariki, kabla sijafa.


Yusufu akamwambia babaye, Hawa ni wanangu, Mungu alionipa nikiwa hapa. Akasema, Tafadhali uwalete kwangu nami nitawabariki.


Hayo yote ndiyo makabila ya Israeli kumi na mawili. Na hayo ndiyo aliyowaambia baba yao, na kuwabariki; mmoja mmoja kwa baraka zake aliwabariki.


Kisha Haruni akainua mikono yake na kuielekeza kwa hao watu, akawabariki; kisha akashuka akisha isongeza sadaka ya dhambi, na sadaka ya kuteketezwa, na sadaka za amani.


Akawaacha, akatoka nje ya mji mpaka Bethania, akalala huko.


Akawakumbatia, akaweka mikono yake juu yao, akawabariki.


Walipokaribia Yerusalemu karibu na Bethfage na Bethania, kukabili mlima wa Mizeituni, aliwatuma wawili katika wanafunzi wake,


Ikawa katika kuwabariki, alijitenga nao; akachukuliwa juu mbinguni.


Kisha wakarudi kwenda Yerusalemu kutoka mlima ulioitwa wa Mizeituni, ulio karibu na Yerusalemu, wapata mwendo wa sabato.


Akiisha kusema hayo, walipokuwa wakitazama, akainuliwa, wingu likampokea kutoka machoni pao.


Basi, nataka wanaume waombe kila mahali, huku wakiinua mikono iliyotakata pasipo hasira wala majadiliano.


Basi Yoshua akawabariki, na kuwapa ruhusa waende zao; nao wakaenda mahemani kwao.