Luka 24:50 - Swahili Revised Union Version50 Akawaongoza mpaka Bethania, akainua mikono yake akawabariki. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema50 Kisha akawaongoza nje ya mji hadi Bethania, akainua mikono yake juu, akawabariki. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND50 Kisha akawaongoza nje ya mji hadi Bethania, akainua mikono yake juu, akawabariki. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza50 Kisha akawaongoza nje ya mji hadi Bethania, akainua mikono yake juu, akawabariki. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu50 Baada ya kuwaongoza hadi Bethania, akainua mikono yake juu na kuwabariki. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu50 Akiisha kuwaongoza mpaka kwenye viunga vya Bethania, akainua mikono yake juu na kuwabariki. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI50 Akawaongoza mpaka Bethania, akainua mikono yake akawabariki. Tazama sura |