Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 24:50 - Swahili Revised Union Version

50 Akawaongoza mpaka Bethania, akainua mikono yake akawabariki.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

50 Kisha akawaongoza nje ya mji hadi Bethania, akainua mikono yake juu, akawabariki.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

50 Kisha akawaongoza nje ya mji hadi Bethania, akainua mikono yake juu, akawabariki.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

50 Kisha akawaongoza nje ya mji hadi Bethania, akainua mikono yake juu, akawabariki.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

50 Baada ya kuwaongoza hadi Bethania, akainua mikono yake juu na kuwabariki.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

50 Akiisha kuwaongoza mpaka kwenye viunga vya Bethania, akainua mikono yake juu na kuwabariki.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

50 Akawaongoza mpaka Bethania, akainua mikono yake akawabariki.

Tazama sura Nakili




Luka 24:50
15 Marejeleo ya Msalaba  

ukaniandalie chakula kitamu namna ile niipendayo, ukaniletee, ili nile; na roho yangu ikubariki, kabla sijafa.


Yusufu akamwambia babaye, Hawa ni wanangu, Mungu alionipa nikiwa hapa. Akasema, Tafadhali uwalete kwangu nami nitawabariki.


Hayo yote ndiyo makabila ya Israeli kumi na mawili. Na hayo ndiyo aliyowaambia baba yao, na kuwabariki; mmoja mmoja kwa baraka zake aliwabariki.


Kisha Haruni akainua mikono yake na kuielekeza kwa hao watu, akawabariki; kisha akashuka akisha isongeza sadaka ya dhambi, na sadaka ya kuteketezwa, na sadaka za amani.


Akawaacha, akatoka nje ya mji mpaka Bethania, akalala huko.


Akawakumbatia, akaweka mikono yake juu yao, akawabariki.


Walipokaribia Yerusalemu karibu na Bethfage na Bethania, kukabili mlima wa Mizeituni, aliwatuma wawili katika wanafunzi wake,


Ikawa katika kuwabariki, alijitenga nao; akachukuliwa juu mbinguni.


Kisha wakarudi kwenda Yerusalemu kutoka mlima ulioitwa wa Mizeituni, ulio karibu na Yerusalemu, wapata mwendo wa sabato.


Akiisha kusema hayo, walipokuwa wakitazama, akainuliwa, wingu likampokea kutoka machoni pao.


Basi, nataka wanaume waombe kila mahali, huku wakiinua mikono iliyotakata pasipo hasira wala majadiliano.


Basi Yoshua akawabariki, na kuwapa ruhusa waende zao; nao wakaenda mahemani kwao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo