Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Matendo 1:12 - Swahili Revised Union Version

12 Kisha wakarudi kwenda Yerusalemu kutoka mlima ulioitwa wa Mizeituni, ulio karibu na Yerusalemu, wapata mwendo wa sabato.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Kisha mitume wakarudi Yerusalemu kutoka ule mlima uitwao Mlima wa Mizeituni ulioko karibu kilomita moja kutoka mjini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Kisha mitume wakarudi Yerusalemu kutoka ule mlima uitwao Mlima wa Mizeituni ulioko karibu kilomita moja kutoka mjini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Kisha mitume wakarudi Yerusalemu kutoka ule mlima uitwao Mlima wa Mizeituni ulioko karibu kilomita moja kutoka mjini.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Ndipo waliporudi Yerusalemu kutoka Mlima wa Mizeituni, uliokuwa karibu na Yerusalemu, umbali wa mwendo wa Sabato kutoka mjini.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Ndipo waliporudi Yerusalemu kutoka Mlima wa Mizeituni, uliokuwa karibu na Yerusalemu, umbali wa mwendo wa Sabato kutoka mjini.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

12 Kisha wakarudi kwenda Yerusalemu kutoka mlima ulioitwa wa Mizeituni, ulio karibu na Yerusalemu, wapata mwendo wa sabato.

Tazama sura Nakili




Matendo 1:12
10 Marejeleo ya Msalaba  

Na siku hiyo miguu yake itasimama juu ya mlima wa Mizeituni, unaoelekea Yerusalemu upande wa mashariki, nao mlima wa Mizeituni utapasuka katikati yake, upande wa mashariki na upande wa magharibi; litakuwako huko bonde kubwa sana; na nusu ya mlima ule utaondoka kwenda upande wa kaskazini, na nusu yake itaondoka kwenda upande wa kusini.


Walipokaribia Yerusalemu, na kufika Bethfage, katika mlima wa Mizeituni, ndipo Yesu alipotuma wanafunzi wawili akiwaambia,


Ombeni, ili kukimbia kwenu kusiwe wakati wa baridi, wala siku ya sabato.


Hata alipokuwa ameketi katika mlima wa Mizeituni, wanafunzi wake wakamwendea kwa faragha, wakisema, Tuambie, mambo hayo yatakuwa lini? Nayo ni nini dalili ya kuja kwako, na ya mwisho wa dunia?


Nao walipokwisha kuimba, wakatoka nje kwenda katika mlima wa Mizeituni.


Ikawa alipokaribia Bethfage na Bethania, kwenye mlima uitwao wa Mizeituni, alituma wawili katika wale wanafunzi,


Basi, kila mchana alikuwa akifundisha hekaluni, na usiku huenda kulala katika mlima uitwao wa Mizeituni.


Akawaongoza mpaka Bethania, akainua mikono yake akawabariki.


Wakamwabudu; kisha wakarudi Yerusalemu wakiwa na furaha kuu.


Na Bethania ilikuwa karibu na Yerusalemu, kadiri ya maili mbili hivi;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo