Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 21:17 - Swahili Revised Union Version

17 Akawaacha, akatoka nje ya mji mpaka Bethania, akalala huko.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Basi, akawaacha, akatoka nje ya mji na kwenda Bethania, akalala huko.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Basi, akawaacha, akatoka nje ya mji na kwenda Bethania, akalala huko.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Basi, akawaacha, akatoka nje ya mji na kwenda Bethania, akalala huko.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Akawaacha, akatoka nje ya mji, akaenda hadi Bethania, akalala huko.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Akawaacha, akatoka nje ya mji, akaenda hadi Bethania, akalala huko.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

17 Akawaacha, akatoka nje ya mji mpaka Bethania, akalala huko.

Tazama sura Nakili




Mathayo 21:17
16 Marejeleo ya Msalaba  

Uonyeke, Ee Yerusalemu, nafsi yangu, isije ikafarakana nawe; nisije nikakufanya ukiwa, nchi isiyokaliwa na watu.


Wajapolea watoto wao, mimi nitawanyang'anya watoto wao, asisalie hata mtu mmoja; naam, ole wao! Nitakapoondoka na kuwaacha.


Kizazi kibaya na cha zinaa chataka ishara; wala hakitapewa ishara, isipokuwa ishara ya Yona. Akawaacha, akaenda zake.


Naye Yesu alipokuwapo Bethania katika nyumba ya Simoni mwenye ukoma,


Walipokaribia Yerusalemu karibu na Bethfage na Bethania, kukabili mlima wa Mizeituni, aliwatuma wawili katika wanafunzi wake,


Naye akaingia Yerusalemu hata ndani ya hekalu; na alipokwisha kutazama yote pande zote, kwa kuwa ni wakati wa jioni, akatoka, akaenda Bethania pamoja na wale Kumi na Wawili.


Na kulipokuwa jioni alitoka mjini.


Naye alipokuwapo Bethania, nyumbani mwa Simoni mwenye ukoma, akiwa amekaa mezani, alikuja mwanamke mwenye chupa ya marhamu yenye manukato ya nardo safi ya thamani kubwa; akaivunja chupa akaimimina kichwani pake.


Naye Yesu akajitenga, yeye na wanafunzi wake, akaenda baharini. Mkutano mkuu ukamfuata, kutoka Galilaya, na Yudea,


Ikawa katika kuenda kwao aliingia katika kijiji kimoja; mwanamke mmoja jina lake Martha akamkaribisha nyumbani kwake.


Ikawa alipokaribia Bethfage na Bethania, kwenye mlima uitwao wa Mizeituni, alituma wawili katika wale wanafunzi,


Akawaongoza mpaka Bethania, akainua mikono yake akawabariki.


Basi mtu mmoja alikuwa mgonjwa, Lazaro wa Bethania, mwenyeji wa mji wa Mariamu na Martha, dada yake.


Na Bethania ilikuwa karibu na Yerusalemu, kadiri ya maili mbili hivi;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo