Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 10:16 - Swahili Revised Union Version

16 Akawakumbatia, akaweka mikono yake juu yao, akawabariki.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Kisha akawapokea watoto hao, akawawekea mikono, akawabariki.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Kisha akawapokea watoto hao, akawawekea mikono, akawabariki.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Kisha akawapokea watoto hao, akawawekea mikono, akawabariki.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Akawachukua watoto mikononi mwake, akawakumbatia, akaweka mikono yake juu yao, akawabariki.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Akawachukua watoto mikononi mwake, akawakumbatia, akaweka mikono yake juu yao, akawabariki.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

16 Akawakumbatia, akaweka mikono yake juu yao, akawabariki.

Tazama sura Nakili




Marko 10:16
8 Marejeleo ya Msalaba  

Atalilisha kundi lake kama mchungaji, Atawakusanya wana-kondoo mikononi mwake; Na kuwachukua kifuani mwake, Nao wanyonyeshao atawaongoza polepole.


Nao walipokuwa wakila, alitwaa mkate, akabariki, akaumega, akawapa, akasema, Twaeni; huu ndio mwili wangu.


Akatwaa kitoto, akamweka katikati yao, akamkumbatia, akawaambia,


Utabarikiwa mjini, utabarikiwa na mashambani.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo