Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 24:16 - Swahili Revised Union Version

Macho yao yakafumbwa wasimtambue.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Walimwona kwa macho, lakini hawakumtambua.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Walimwona kwa macho, lakini hawakumtambua.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Walimwona kwa macho, lakini hawakumtambua.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

lakini macho yao yakazuiliwa ili wasimtambue.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

lakini macho yao yakazuiliwa ili wasimtambue.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Macho yao yakafumbwa wasimtambue.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 24:16
8 Marejeleo ya Msalaba  

Yusufu akawatambua nduguze, bali wao hawakumtambua yeye.


Baada ya hayo akawatokea wawili miongoni mwao, akiwa na sura nyingine; nao walikuwa wakitembea njiani kwenda mashambani.


Ikawa katika kuzungumza na kuulizana kwao, Yesu mwenyewe alikaribia, akaandamana nao.


Akawaambia, Ni maneno gani haya mnayosemezana hivi mnapotembea? Wakasimama wamekunja nyuso zao.


Yakafumbuliwa macho yao, wakamtambua; kisha akatoweka mbele yao.


Naye akiisha kusema hayo, akageuka nyuma, akamwona Yesu amesimama, asijue ya kuwa ni Yesu.


Asubuhi kulipokucha, Yesu alisimama ufuoni; lakini wanafunzi hawakujua ya kuwa ni Yesu.