Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 23:18 - Swahili Revised Union Version

Wakapiga kelele wote pamoja, wakisema, Mwondoe huyu, utufungulie Baraba.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini wote wakapiga kelele pamoja: “Mwondoe huyo, utufungulie Baraba!” (

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini wote wakapiga kelele pamoja: “Mwondoe huyo, utufungulie Baraba!” (

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini wote wakapiga kelele pamoja: “Mwondoe huyo, utufungulie Baraba!” (

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ndipo watu wote wakapiga kelele kwa pamoja, “Mwondoe mtu huyu! Tufungulie Baraba!”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ndipo watu wote wakapiga kelele kwa pamoja, “Mwondoe mtu huyo! Tufungulie Baraba!”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wakapiga kelele wote pamoja, wakisema, Mwondoe huyu, utufungulie Baraba.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 23:18
10 Marejeleo ya Msalaba  

Maana ilimlazimu kuwafungulia mfungwa mmoja wakati wa sikukuu.]


Naye ni mtu aliyetupwa gerezani kwa ajili ya fitina iliyotokea mjini, na kwa uuaji


Lakini Petro akasimama nje mlangoni. Basi yule mwanafunzi mwingine aliyejulikana na Kuhani Mkuu akatoka, akasema na mlinda mlango, akamleta Petro ndani.


Maana kundi kubwa la watu wakamfuata, wakipiga kelele, na kusema, Na aondolewe mbali.


Wakamsikiliza mpaka neno lile, wakapaza sauti zao, wakisema, Mwondoe huyu katika nchi, kwa maana haifai aishi.


Bali ninyi mlimkana yule Mtakatifu, yule Mwenye haki, mkataka mpewe mwuaji;