Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 23:13 - Swahili Revised Union Version

Na Pilato akawakutanisha wakuu wa makuhani, na wakubwa, na watu,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, Pilato akaitisha mkutano wa makuhani wakuu, viongozi na watu,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, Pilato akaitisha mkutano wa makuhani wakuu, viongozi na watu,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, Pilato akaitisha mkutano wa makuhani wakuu, viongozi na watu,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Basi Pilato akawaita pamoja viongozi wa makuhani, viongozi wengine na watu,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Basi Pilato akawaita pamoja viongozi wa makuhani, viongozi wengine na watu,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na Pilato akawakutanisha wakuu wa makuhani, na wakubwa, na watu,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 23:13
14 Marejeleo ya Msalaba  

Pilato akawaambia, Kwani ni ubaya gani alioutenda? Wakazidi sana kupiga kelele, Msulubishe.


Watu wakasimama wakitazama. Wale wakuu nao walikuwa wakimfanyia mzaha, wakisema, Aliokoa wengine; na ajiokoe mwenyewe, kama ndiye Kristo wa Mungu, mteule wake.


tena jinsi wakuu wa makuhani na wakubwa wetu walivyomtia katika hukumu ya kufa, wakamsulubisha.


Lakini hata katika wakuu walikuwamo wengi waliomwamini; lakini kwa sababu ya Mafarisayo hawakumkiri, wasije wakatengwa na sinagogi.


Pilato akamwambia, Kweli ni nini? Naye akiisha kusema neno hilo akawatokea Wayahudi tena, akawaambia, Mimi sioni hatia yoyote kwake.


Kisha Pilato akatokea tena nje, akawaambia, Mtu huyu namleta nje kwenu, mpate kufahamu ya kuwa mimi sioni hatia yoyote kwake.


Basi palikuwa na mtu mmoja wa Mafarisayo, jina lake Nikodemo, mkuu wa Wayahudi.


Na kumbe! Anena waziwazi, wala hawamwambii neno! Inawezekana hao wakuu wanajua hakika ya kuwa huyu ndiye Kristo?


Ni nani katika wakuu amwaminiye, au katika Mafarisayo?


Kwa maana wakaao Yerusalemu, na wakuu wao, kwa kuwa hawakumjua yeye, wala maneno ya manabii yanayosomwa kila sabato, wameyatimiza kwa kumhukumu.


Basi sasa, ndugu, najua ya kuwa mliyatenda haya kwa kutokujua kwenu, kama na wakuu wenu walivyotenda.


Kesho yake, wakubwa na wazee na waandishi wakakusanyika Yerusalemu,


Ndipo Petro, akijaa Roho Mtakatifu, akawaambia, Enyi wakubwa wa watu na wazee wa Israeli,