Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 7:48 - Swahili Revised Union Version

48 Ni nani katika wakuu amwaminiye, au katika Mafarisayo?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

48 Je, mmekwisha kumwona hata mmoja wa viongozi wa watu, au mmoja wa Mafarisayo aliyemwamini?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

48 Je, mmekwisha kumwona hata mmoja wa viongozi wa watu, au mmoja wa Mafarisayo aliyemwamini?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

48 Je, mmekwisha kumwona hata mmoja wa viongozi wa watu, au mmoja wa Mafarisayo aliyemwamini?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

48 Je, kuna kiongozi yeyote au mmoja wa Mafarisayo ambaye amemwamini?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

48 Je, kuna kiongozi yeyote au mmoja wa Mafarisayo ambaye amemwamini?

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

48 Ni nani katika wakuu amwaminiye, au katika Mafarisayo?

Tazama sura Nakili




Yohana 7:48
12 Marejeleo ya Msalaba  

Wakati ule Yesu akajibu, akasema, Nakushukuru, Baba, Bwana wa mbingu na nchi, kwa kuwa mambo haya uliwaficha wenye hekima na akili, ukawafunulia watoto wachanga.


Na Pilato akawakutanisha wakuu wa makuhani, na wakubwa, na watu,


Lakini hata katika wakuu walikuwamo wengi waliomwamini; lakini kwa sababu ya Mafarisayo hawakumkiri, wasije wakatengwa na sinagogi.


Basi palikuwa na mtu mmoja wa Mafarisayo, jina lake Nikodemo, mkuu wa Wayahudi.


Na kumbe! Anena waziwazi, wala hawamwambii neno! Inawezekana hao wakuu wanajua hakika ya kuwa huyu ndiye Kristo?


Lakini makutano hawa wasioifahamu torati wamelaaniwa.


Akawaambia Nikodemo, (naye ni yule aliyemwendea zamani, maana ni mmoja wao),


Neno la Mungu likaenea; na hesabu ya wanafunzi ikazidi sana katika Yerusalemu; jamii kubwa ya makuhani wakaitii ile Imani.


Yuko wapi mwenye hekima? Yuko wapi mwandishi? Yuko wapi mleta hoja wa nyakati hizi? Je! Mungu hakuifanya hekima ya dunia kuwa ni upumbavu?


ambayo wenye kuitawala dunia hii hawaijui hata mmoja; maana kama wangaliijua, wasingalimsulubisha Bwana wa utukufu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo