Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 7:49 - Swahili Revised Union Version

49 Lakini makutano hawa wasioifahamu torati wamelaaniwa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

49 Lakini umati huu haujui sheria ya Mose; umelaaniwa!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

49 Lakini umati huu haujui sheria ya Mose; umelaaniwa!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

49 Lakini umati huu haujui sheria ya Mose; umelaaniwa!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

49 Lakini umati huu wa watu wasiojua Torati ya Musa, wamelaaniwa.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

49 Lakini huu umati wa watu wasiojua Torati ya Musa, wamelaaniwa.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

49 Lakini makutano hawa wasioifahamu torati wamelaaniwa.

Tazama sura Nakili




Yohana 7:49
11 Marejeleo ya Msalaba  

Basi, lisikieni neno la BWANA, enyi watu wenye dharau, mnaowatawala watu hawa walio ndani ya Yerusalemu.


Ole wao walio na hekima katika macho yao wenyewe, na wenye busara katika fikira zao wenyewe!


watu wasemao, Simama peke yako, usinikaribie mimi, kwa maana mimi ni mtakatifu kuliko wewe; watu hao ni moshi puani mwangu, moto uwakao mchana kutwa.


Ni nani katika wakuu amwaminiye, au katika Mafarisayo?


Akawaambia Nikodemo, (naye ni yule aliyemwendea zamani, maana ni mmoja wao),


Wakajibu, wakamwambia, Ama! Wewe ulizaliwa katika dhambi tupu, nawe unatufundisha sisi? Wakamtoa nje.


Baadhi ya Mafarisayo waliokuwapo pamoja naye wakasikia hayo, wakamwambia, Je! Sisi nasi tu vipofu?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo