Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 24:20 - Swahili Revised Union Version

20 tena jinsi wakuu wa makuhani na wakubwa wetu walivyomtia katika hukumu ya kufa, wakamsulubisha.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Makuhani na watawala wetu walimtoa ahukumiwe kufa, wakamsulubisha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Makuhani na watawala wetu walimtoa ahukumiwe kufa, wakamsulubisha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Makuhani na watawala wetu walimtoa ahukumiwe kufa, wakamsulubisha.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Viongozi wa makuhani na viongozi wetu walimtoa ahukumiwe kufa, nao wakamsulubisha.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Viongozi wa makuhani na viongozi wetu walimtoa ahukumiwe kufa, nao wakamsulubisha.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

20 tena jinsi wakuu wa makuhani na wakubwa wetu walivyomtia katika hukumu ya kufa, wakamsulubisha.

Tazama sura Nakili




Luka 24:20
14 Marejeleo ya Msalaba  

Enyi nyoka, wana wa majoka, mtaikimbiaje hukumu ya Jehanamu?


Nao wakuu wa makuhani na wazee wakawashawishi makutano ili wamtake Baraba, na kumwangamiza Yesu.


Mara kulipokuwa asubuhi wakuu wa makuhani walifanya shauri pamoja na wazee na waandishi na baraza nzima, wakamfunga Yesu, wakamchukua, wakamleta mbele ya Pilato.


Kulipokucha, walikutanika jamii ya wazee, na wakuu wa makuhani, na waandishi, wakamleta katika baraza yao, wakisema,


Na Pilato akawakutanisha wakuu wa makuhani, na wakubwa, na watu,


mtu huyu alipotolewa kwa shauri la Mungu lililokusudiwa, na kwa kujua kwake tangu zamani, ninyi mkamsulubisha kwa mikono ya watu wabaya, mkamwua;


ambao walimwua Bwana Yesu, na hao manabii, na kutuudhi sisi; wala hawampendezi Mungu, wala hawapatani na watu wowote;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo