Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Matendo 4:5 - Swahili Revised Union Version

5 Kesho yake, wakubwa na wazee na waandishi wakakusanyika Yerusalemu,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Kesho yake, viongozi wa Wayahudi, wazee na waalimu wa sheria walikusanyika pamoja huko Yerusalemu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Kesho yake, viongozi wa Wayahudi, wazee na waalimu wa sheria walikusanyika pamoja huko Yerusalemu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Kesho yake, viongozi wa Wayahudi, wazee na waalimu wa sheria walikusanyika pamoja huko Yerusalemu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Kesho yake, viongozi wa Wayahudi, wazee na walimu wa Torati walikusanyika Yerusalemu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Kesho yake, viongozi wa Kiyahudi, wazee na walimu wa Torati wakakusanyika Yerusalemu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

5 Kesho yake, wakubwa na wazee na waandishi wakakusanyika Yerusalemu,

Tazama sura Nakili




Matendo 4:5
12 Marejeleo ya Msalaba  

Lisikieni neno la BWANA, enyi waamuzi wa Sodoma; tegeni masikio msikie sheria ya Mungu wetu, enyi watu wa Gomora.


Ole wao wakusudiao mambo maovu, na kutenda mabaya vitandani mwao! Kunapopambazuka asubuhi huyafanya, sababu wana uwezo mikononi mwao.


Mara kulipokuwa asubuhi wakuu wa makuhani walifanya shauri pamoja na wazee na waandishi na baraza nzima, wakamfunga Yesu, wakamchukua, wakamleta mbele ya Pilato.


Ikawa siku moja, alipokuwa akiwafundisha watu hekaluni, na kuihubiri Habari Njema, wakuu wa makuhani na waandishi pamoja na wazee walimtokea ghafla;


Kulipokucha, walikutanika jamii ya wazee, na wakuu wa makuhani, na waandishi, wakamleta katika baraza yao, wakisema,


Na Pilato akawakutanisha wakuu wa makuhani, na wakubwa, na watu,


tena jinsi wakuu wa makuhani na wakubwa wetu walivyomtia katika hukumu ya kufa, wakamsulubisha.


Ndipo Petro, akijaa Roho Mtakatifu, akawaambia, Enyi wakubwa wa watu na wazee wa Israeli,


Lakini mtu mmoja, Farisayo, jina lake Gamalieli, mwalimu wa torati, mwenye kuheshimiwa na watu wote, akasimama katika baraza, akaamuru mitume wawekwe nje kitambo kidogo,


Wakawataharakisha watu na wazee na waandishi, wakamwendea, wakamkamata, wakampeleka mbele ya baraza.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo