Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 3:1 - Swahili Revised Union Version

1 Basi palikuwa na mtu mmoja wa Mafarisayo, jina lake Nikodemo, mkuu wa Wayahudi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Kulikuwa na kiongozi mmoja Myahudi, wa kikundi cha Mafarisayo, jina lake Nikodemo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Kulikuwa na kiongozi mmoja Myahudi, wa kikundi cha Mafarisayo, jina lake Nikodemo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Kulikuwa na kiongozi mmoja Myahudi, wa kikundi cha Mafarisayo, jina lake Nikodemo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Basi palikuwa na mtu mmoja Farisayo, jina lake Nikodemo, mmoja wa Baraza la Wayahudi lililotawala.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 Basi palikuwa na mtu mmoja Farisayo, jina lake Nikodemo, mmoja wa Baraza la Wayahudi lililotawala.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

1 Basi palikuwa na mtu mmoja wa Mafarisayo, jina lake Nikodemo, mkuu wa Wayahudi.

Tazama sura Nakili




Yohana 3:1
5 Marejeleo ya Msalaba  

Na Pilato akawakutanisha wakuu wa makuhani, na wakubwa, na watu,


Akaenda Nikodemo naye, (yule aliyemwendea usiku hapo kwanza), akaleta mchanganyiko wa manemane na uudi, yapata ratili mia.


Yesu akajibu, akamwambia, Je! Wewe u mwalimu wa Israeli, na mambo haya huyafahamu?


Na kumbe! Anena waziwazi, wala hawamwambii neno! Inawezekana hao wakuu wanajua hakika ya kuwa huyu ndiye Kristo?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo