Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Matendo 4:8 - Swahili Revised Union Version

8 Ndipo Petro, akijaa Roho Mtakatifu, akawaambia, Enyi wakubwa wa watu na wazee wa Israeli,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Hapo, Petro, akiwa amejawa na Roho Mtakatifu, akawaambia, “Viongozi na wazee wa watu!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Hapo, Petro, akiwa amejawa na Roho Mtakatifu, akawaambia, “Viongozi na wazee wa watu!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Hapo, Petro, akiwa amejawa na Roho Mtakatifu, akawaambia, “Viongozi na wazee wa watu!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Petro, akiwa amejawa na Roho Mtakatifu wa Mungu, akajibu, “Enyi watawala na wazee wa watu,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Petro, akiwa amejaa Roho wa Mwenyezi Mungu, akajibu, “Enyi watawala na wazee wa watu,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

8 Ndipo Petro, akijaa Roho Mtakatifu, akawaambia, Enyi wakubwa wa watu na wazee wa Israeli,

Tazama sura Nakili




Matendo 4:8
11 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa Elisabeti aliposikia kule kuamkia kwake Mariamu, kitoto kichanga kikaruka ndani ya tumbo lake; Elisabeti akajazwa Roho Mtakatifu;


Na Pilato akawakutanisha wakuu wa makuhani, na wakubwa, na watu,


Lakini Sauli, ambaye ndiye Paulo, akiwa amejaa Roho Mtakatifu, akamkazia macho,


Wote wakajazwa Roho Mtakatifu, wakaanza kusema kwa lugha nyingine, kama Roho alivyowajalia kutamka.


Hata walipokwisha kumwomba Mungu, mahali pale walipokusanyika pakatikiswa, wote wakajaa Roho Mtakatifu, wakanena neno la Mungu kwa ujasiri.


Kesho yake, wakubwa na wazee na waandishi wakakusanyika Yerusalemu,


Walipowaweka katikati wakawauliza, Kwa nguvu gani na kwa jina la nani ninyi mmefanya haya?


Lakini yeye akijaa Roho Mtakatifu, akakaza macho yake, akitazama mbinguni, akauona utukufu wa Mungu, na Yesu akisimama upande wa mkono wa kulia wa Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo