Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 22:50 - Swahili Revised Union Version

Mmoja wao akampiga mtumwa wa Kuhani Mkuu, akamkata sikio la kulia.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Na mmoja wao akampiga upanga mtumishi wa kuhani mkuu, akamkata sikio lake la kulia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Na mmoja wao akampiga upanga mtumishi wa kuhani mkuu, akamkata sikio lake la kulia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Na mmoja wao akampiga upanga mtumishi wa kuhani mkuu, akamkata sikio lake la kulia.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mmoja wao akampiga mtumishi wa kuhani mkuu kwa upanga, akamkata sikio la kuume.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mmoja wao akampiga mtumishi wa kuhani mkuu kwa upanga, akamkata sikio la kuume.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mmoja wao akampiga mtumwa wa Kuhani Mkuu, akamkata sikio la kulia.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 22:50
7 Marejeleo ya Msalaba  

Na mmoja wao waliokuwapo akafuta upanga, akampiga mtumwa wa Kuhani Mkuu, akamkata sikio.


Na wale waliokuwa karibu naye walipoona yatakayotokea, walisema, Bwana, tuwapige kwa upanga?


Yesu akajibu akasema, Muwe radhi kwa hili. Akamgusa sikio, akamponya.


Wapenzi, msijilipize kisasi, bali ipisheni ghadhabu ya Mungu; maana imeandikwa, Kisasi ni juu yangu mimi; mimi nitalipa, anena Bwana.


(maana silaha za vita vyetu si za mwili, bali zina uwezo katika Mungu hata kuangusha ngome;)