Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 22:50 - Swahili Revised Union Version

50 Mmoja wao akampiga mtumwa wa Kuhani Mkuu, akamkata sikio la kulia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

50 Na mmoja wao akampiga upanga mtumishi wa kuhani mkuu, akamkata sikio lake la kulia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

50 Na mmoja wao akampiga upanga mtumishi wa kuhani mkuu, akamkata sikio lake la kulia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

50 Na mmoja wao akampiga upanga mtumishi wa kuhani mkuu, akamkata sikio lake la kulia.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

50 Mmoja wao akampiga mtumishi wa kuhani mkuu kwa upanga, akamkata sikio la kuume.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

50 Mmoja wao akampiga mtumishi wa kuhani mkuu kwa upanga, akamkata sikio la kuume.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

50 Mmoja wao akampiga mtumwa wa Kuhani Mkuu, akamkata sikio la kulia.

Tazama sura Nakili




Luka 22:50
7 Marejeleo ya Msalaba  

Na mmoja wao waliokuwapo akafuta upanga, akampiga mtumwa wa Kuhani Mkuu, akamkata sikio.


Na wale waliokuwa karibu naye walipoona yatakayotokea, walisema, Bwana, tuwapige kwa upanga?


Yesu akajibu akasema, Muwe radhi kwa hili. Akamgusa sikio, akamponya.


Wapenzi, msijilipize kisasi, bali ipisheni ghadhabu ya Mungu; maana imeandikwa, Kisasi ni juu yangu mimi; mimi nitalipa, anena Bwana.


(maana silaha za vita vyetu si za mwili, bali zina uwezo katika Mungu hata kuangusha ngome;)


Tufuate:

Matangazo


Matangazo