Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 14:47 - Swahili Revised Union Version

47 Na mmoja wao waliokuwapo akafuta upanga, akampiga mtumwa wa Kuhani Mkuu, akamkata sikio.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

47 Mmoja wa wale waliokuwa wamesimama hapo pamoja na Yesu, akachomoa upanga wake, akampiga mtumishi wa kuhani mkuu, akamkata sikio.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

47 Mmoja wa wale waliokuwa wamesimama hapo pamoja na Yesu, akachomoa upanga wake, akampiga mtumishi wa kuhani mkuu, akamkata sikio.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

47 Mmoja wa wale waliokuwa wamesimama hapo pamoja na Yesu, akachomoa upanga wake, akampiga mtumishi wa kuhani mkuu, akamkata sikio.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

47 Ndipo mmoja wa wale waliokuwa wamesimama karibu aliuchomoa upanga wake na kumpiga mtumishi wa kuhani mkuu, akamkata sikio.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

47 Ndipo mmoja wa wale waliokuwa wamesimama karibu aliuchomoa upanga wake na kumpiga mtumishi wa kuhani mkuu, akamkata sikio.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

47 Na mmoja wao waliokuwapo akafuta upanga, akampiga mtumwa wa Kuhani Mkuu, akamkata sikio.

Tazama sura Nakili




Marko 14:47
5 Marejeleo ya Msalaba  

Wakanyosha mikono yao wakamkamata.


Yesu akajibu, akawaambia, Je! Mmekuja na panga na marungu kunikamata kana kwamba mimi ni mnyang'anyi?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo