Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 14:46 - Swahili Revised Union Version

46 Wakanyosha mikono yao wakamkamata.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

46 Basi, hao watu wakamkamata Yesu, wakamtia nguvuni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

46 Basi, hao watu wakamkamata Yesu, wakamtia nguvuni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

46 Basi, hao watu wakamkamata Yesu, wakamtia nguvuni.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

46 Wale watu wakamkamata Isa, wakamweka chini ya ulinzi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

46 Wale watu wakamkamata Isa, wakamweka chini ya ulinzi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

46 Wakanyosha mikono yao wakamkamata.

Tazama sura Nakili




Marko 14:46
6 Marejeleo ya Msalaba  

Pumzi ya mianzi ya pua zetu, masihi wa BWANA, Alikamatwa katika marima yao; Ambaye kwa habari zake tulisema, Chini ya kivuli chake tutakaa kati ya mataifa.


Basi alipokuja, mara akamwendea, akasema, Rabi, akambusu.


Na mmoja wao waliokuwapo akafuta upanga, akampiga mtumwa wa Kuhani Mkuu, akamkata sikio.


Basi wale askari na yule jemadari na wale watumishi wa Wayahudi walimkamata Yesu, wakamfunga.


mtu huyu alipotolewa kwa shauri la Mungu lililokusudiwa, na kwa kujua kwake tangu zamani, ninyi mkamsulubisha kwa mikono ya watu wabaya, mkamwua;


Wafilisti wakamkamata, wakamng'oa macho; wakateremka naye mpaka Gaza, wakamfunga kwa vifungo vya shaba; naye alikuwa akisaga ngano katika gereza.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo