Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 22:16 - Swahili Revised Union Version

kwa maana nawaambia ya kwamba siili tena hadi itakapotimizwa katika ufalme wa Mungu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Maana nawaambieni, sitaila tena hadi hapo itakapokamilika katika ufalme wa Mungu.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Maana nawaambieni, sitaila tena hadi hapo itakapokamilika katika ufalme wa Mungu.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Maana nawaambieni, sitaila tena hadi hapo itakapokamilika katika ufalme wa Mungu.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa maana, nawaambia, sitaila tena Pasaka hadi itakapotimizwa katika ufalme wa Mungu.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa maana, nawaambia, sitaila tena Pasaka mpaka itakapotimizwa katika Ufalme wa Mwenyezi Mungu.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

kwa maana nawaambia ya kwamba siili tena hadi itakapotimizwa katika ufalme wa Mungu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 22:16
11 Marejeleo ya Msalaba  

Heri watumwa wale, ambao bwana wao ajapo atawakuta wanakesha. Amin, nawaambieni, atajifunga na kuwakaribisha chakulani, atakuja na kuwahudumia.


Basi aliposikia hayo mmojawapo wa wale walioketi chakulani pamoja naye alimwambia, Heri yule atakayekula mkate katika ufalme wa Mungu.


Akawaambia, Nimetamani sana kuila Pasaka hii pamoja nanyi kabla ya kuteswa kwangu;


Maana nawaambia ya kwamba tangu sasa sinywi mazao ya mzabibu hadi ufalme wa Mungu utakapokuja.


mpate kula na kunywa mezani pangu katika ufalme wangu; na kuketi katika viti vya enzi, huku mkiyahukumu makabila kumi na mawili ya Israeli.


Msikitendee kazi chakula chenye kuharibika, bali chakula kidumucho hata uzima wa milele; ambacho Mwana wa Adamu atawapa, kwa sababu huyo ndiye aliyetiwa mhuri na Baba, yaani, Mungu.


si kwa watu wote, bali kwa mashahidi waliokuwa wamekwisha kuchaguliwa na Mungu, ndio sisi, tuliokula na kunywa pamoja naye baada ya kufufuka kwake kutoka kwa wafu.


Naye akaniambia, Andika, Heri walioalikwa katika karamu ya arusi ya Mwana-kondoo. Akaniambia, Maneno haya ni maneno ya kweli ya Mungu.