Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 22:17 - Swahili Revised Union Version

17 Akapokea kikombe, akashukuru, akasema, Twaeni hiki, mgawanye ninyi kwa ninyi;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Kisha akatwaa kikombe cha divai, akashukuru, akasema, “Pokeeni, mgawane.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Kisha akatwaa kikombe cha divai, akashukuru, akasema, “Pokeeni, mgawane.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Kisha akatwaa kikombe cha divai, akashukuru, akasema, “Pokeeni, mgawane.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Baada ya kukichukua kikombe, akashukuru, akasema, “Chukueni hiki mnywe wote.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Akiisha kukichukua kikombe, akashukuru, akasema, “Chukueni hiki mnywe wote.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

17 Akapokea kikombe, akashukuru, akasema, Twaeni hiki, mgawanye ninyi kwa ninyi;

Tazama sura Nakili




Luka 22:17
15 Marejeleo ya Msalaba  

Nitakipokea kikombe cha wokovu; Na kulitangaza jina la BWANA;


Waandaa meza mbele yangu, Machoni pa watesi wangu. Umenipaka mafuta kichwani pangu, Na kikombe changu kinafurika.


wala watu hawatamega mkate kwa ajili yao, wakati wa kuomboleza, ili kuwafariji kwa ajili yao waliokufa; wala watu hawatawapa kikombe cha faraja, wanywe kwa ajili ya baba yao au mama yao.


Akawaagiza makutano waketi katika majani; akaitwaa ile mikate mitano na wale samaki wawili, akatazama juu mbinguni, akabariki, akaimega ile mikate, akawapa wanafunzi, wanafunzi wakawapa makutano.


akaitwaa ile mikate saba na vile visamaki, akashukuru akavimega, akawapa wanafunzi wake, nao wanafunzi wakawapa makutano.


Nao walipokuwa wakila Yesu alitwaa mkate, akabariki, akaumega, akawapa wanafunzi wake, akasema, Twaeni, mle; huu ndio mwili wangu


Nao walipokuwa wakila, alitwaa mkate, akabariki, akaumega, akawapa, akasema, Twaeni; huu ndio mwili wangu.


Akatwaa mkate, akashukuru, akaumega, akawapa, akisema, [Huu ndio mwili wangu unaotolewa kwa ajili yenu; fanyeni hivi kwa ukumbusho wangu.


Akaitwaa ile mikate mitano na wale samaki wawili, akatazama juu mbinguni akavibariki, akavimega, akawapa wanafunzi wake ili wawaandalie mkutano.


Yeye aadhimishaye siku, huiadhimisha kwa Bwana; naye alaye, hula kwa Bwana, kwa maana amshukuru Mungu; tena asiyekula, hali kwa Bwana, naye pia amshukuru Mungu.


Kikombe kile cha baraka tukibarikicho, je! Si ushirika wa damu ya Kristo? Mkate ule tuumegao, si ushirika wa mwili wa Kristo?


Kwa maana mimi nilipokea kwa Bwana niliyowapa nanyi, ya kuwa Bwana Yesu usiku ule aliotolewa alitwaa mkate,


Nawe utakula ushibe, utamshukuru BWANA, Mungu wako, kwa nchi nzuri aliyokupa.


mkiingia mjini tu, mara mtamwona, kabla hajakwea kwenda mahali pa juu ale chakula; maana, watu hawatakula hadi yeye atakapokuja; kwa sababu yeye ndiye anayeibariki dhabihu; ndipo hao watu walioalikwa hula. Basi, kweeni sasa; maana wakati huu ndio mtakapomwona.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo