Ufunuo 19:9 - Swahili Revised Union Version9 Naye akaniambia, Andika, Heri walioalikwa katika karamu ya arusi ya Mwana-kondoo. Akaniambia, Maneno haya ni maneno ya kweli ya Mungu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 Kisha malaika akaniambia, “Andika haya: Heri wale walioalikwa kwenye karamu ya harusi ya Mwanakondoo!” Tena akaniambia, “Hayo ni maneno ya kweli ya Mungu.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 Kisha malaika akaniambia, “Andika haya: Heri wale walioalikwa kwenye karamu ya harusi ya Mwanakondoo!” Tena akaniambia, “Hayo ni maneno ya kweli ya Mungu.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 Kisha malaika akaniambia, “Andika haya: Heri wale walioalikwa kwenye karamu ya harusi ya Mwanakondoo!” Tena akaniambia, “Hayo ni maneno ya kweli ya Mungu.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 Ndipo malaika akaniambia, “Andika: ‘Wamebarikiwa wale walioalikwa kwenye karamu ya arusi ya Mwana-Kondoo!’ ” Naye akaongeza kusema, “Haya ndio maneno ya kweli ya Mungu.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 Ndipo malaika akaniambia, “Andika: ‘Wamebarikiwa wale walioalikwa kwenye karamu ya arusi ya Mwana-Kondoo!’ ” Naye akaongeza kusema, “Haya ndiyo maneno ya kweli ya Mungu.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI9 Naye akaniambia, Andika, Heri walioalikwa katika karamu ya harusi ya Mwana-kondoo. Akaniambia, Maneno haya ni maneno ya kweli ya Mungu. Tazama sura |