Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 2:47 - Swahili Revised Union Version

Nao wote waliomsikia walistaajabia fahamu zake na majibu yake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wote waliosikia maneno yake walistaajabia akili yake na majibu yake ya hekima.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wote waliosikia maneno yake walistaajabia akili yake na majibu yake ya hekima.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wote waliosikia maneno yake walistaajabia akili yake na majibu yake ya hekima.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wote waliomsikia walistaajabishwa na uwezo wake mkubwa wa kuelewa, na majibu aliyoyatoa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wote waliomsikia walistaajabishwa na uwezo wake mkubwa wa kuelewa, na majibu aliyoyatoa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nao wote waliomsikia walistaajabia fahamu zake na majibu yake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 2:47
13 Marejeleo ya Msalaba  

Ninazo akili kuliko waalimu wangu wote, Maana shuhuda zako ndizo nizifikirizo.


Na alipofika mji wa kwao, akawafundisha katika sinagogi lao, hata wakashangaa, wakasema, Huyu amepata wapi hekima hii na miujiza hii?


Na makutano waliposikia, walishangaa kwa mafunzo yake.


Ikawa, Yesu alipoyamaliza maneno hayo, makutano walishangaa mno kwa mafundisho yake;


Wakashangaa mno kwa mafundisho yake; kwa maana alikuwa akiwafundisha kama mtu mwenye mamlaka, wala si kama waandishi.


Wakuu wa makuhani na waandishi wakapata habari wakatafuta jinsi ya kumwangamiza; maana walimwogopa, kwa sababu mkutano wote walishangazwa na mafundisho yake.


Na ilipokuwa sabato, alianza kufundisha katika sinagogi; wengi waliposikia wakashangaa, wakisema, Huyu ameyapata wapi haya? Na, Ni hekima gani hii aliyopewa huyu? Na, Ni nini miujiza hii mikubwa inayotendeka kwa mikono yake?


Wote waliosikia wakastaajabu kwa hayo waliyoambiwa na wachungaji.


Ikawa baada ya siku tatu wakamwona hekaluni, ameketi katikati ya waalimu, akiwasikiliza na kuwauliza maswali.


Wakamshuhudia wote, wakiyastaajabia maneno ya neema yaliyotoka kinywani mwake, wakasema, Huyu siye mwana wa Yusufu?


wakashangaa mno kwa mafundisho yake, kwa kuwa neno lake lilikuwa na uwezo.


Wayahudi wakastaajabu wakisema, Amepataje huyu kujua elimu, ambaye hakusoma?


Wale watumishi wakajibu. Hajanena kamwe mtu yeyote kama huyu anavyonena.